Pre GE2025 Ni fedhea US Air Force na Marine corps kufanya usafi California

Pre GE2025 Ni fedhea US Air Force na Marine corps kufanya usafi California

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
2,228
Reaction score
3,045
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
 
JWTZ
POLISI na vyombo vya Dola Viongozi wake wengi ni makada wa C.C.M hivyo kuamrishwa kufanya usafi na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama (RC-na DC) kwao ni sawa.

Ila nchi hii Ina watu wajinga wakiwemo viongozi baadhi wa CCM yaani ili kuzima maandamo ya Chama Cha upinzani unaamrisha jeshi kufanya usafi...!!!
 
Tanzania kufanya mapinduzi ni rahisi sana, sema wahuni hawajaamua tu.

Hizi kauli za kuachia mtu aliagize jeshi zinahitaji kukemewa lakini pia kuzifanyia tathmini kama zinaishia hapo tu ama ni majaribio ya mambo makubwa zaidi.
 
Jukumu la jeshi ni kupambana na maadui
Na hayo mauchafu na mengineyo ni maadui, wacha yapambane na rijeshi rabda hayatarudi tena

Hakuna vita kwa sasa wacha tu watumike
 
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
Achana na hao mashoga askari wa US. Jeshi ni kutumikia wananchi kwenye amani na vita. Wao kuja mitaani kusaidia usafi ni katika kujenga mahusiano na wananchi.
 
JWTZ
POLISI na vyombo vya Dola Viongozi wake wengi ni makada wa C.C.M hivyo kuamrishwa kufanya usafi na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama (RC-na DC) kwao ni sawa.

Ila nchi hii Ina watu wajinga wakiwemo viongozi baadhi wa CCM yaani ili kuzima maandamo ya Chama Cha upinzani unaamrisha jeshi kufanya usafi...!!!
Kabisa
 
Tanzania kufanya mapinduzi ni rahisi sana, sema wahuni hawajaamua tu.

Hizi kauli za kuachia mtu aliagize jeshi zinahitaji kukemewa lakini pia kuzifanyia tathmini kama zinaishia hapo tu ama ni majaribio ya mambo makubwa zaidi.
Mapinduzi tena
 
Achana na hao mashoga askari wa US. Jeshi ni kutumikia wananchi kwenye amani na vita. Wao kuja mitaani kusaidia usafi ni katika kujenga mahusiano na wananchi.
Ng'ombe
 
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
Mama yupo kazini na vibaraka wake
 
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
Mkuu Niamini Mimi Hii kitu Haiwezekani..
Askari wa Jeshi 5000?

Maana yake anamuagiza CDF amuagize Brigedia Genaral (Brigedia Jenerali)
Kuleta Bregade in combat yaani Several Battalions in action for Just Cleaning purpose..?

Kuiweka Brigade sehemu inahitaji kuwepo Brigedia jenerali, subornates Wake kama Colonel (Kanali),Liutenants colonel (Ma Luteni kanali) kadhaa na Vyeo vingine vya chini yake ambavyo vyote vipo kwenye Chain of Commands..

Sio kitu chepesi kama Tunavyofikiria..!
Posho zao tu hatuna uwezo wa Kuzilipa kwa pamoja.. leo Tuote more than 20 Platoon kwa mambo ya kisiasa Never, Haiwezi kutokea
 
Cha msingi wanajeshi wetu wasifanye usafi na virungu na mabomu, wakati tunaandamana wawe nyuma yetu wakiokota chupa za maji , la sivyo chalamila atatengeneza tatizo asiloweza kulitatua
 
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
Ninyi wakuu wa Majeshi na polisi hivi hamna uwezo wa kukaa kikao na kuona haya yanayoamrishwa kwenu sio wajibu wenu. Si myapatie majawabu. Mmekula kiapo.
Kama ninyi ni sehemu ya Halmashauri za jiji mjitokeE kusema wazi tuelewe
 
Wacha jeshi lisafishe nchi maana hata Maandamano ya kinafiki ni uchafu pia.
Chadema ni genge la kihuni.
Juzi kati kwenye sakata la DP-WORLD...Chadema ilijitenga na kina Mwabukusi kisha wakawazimia mpaka simu.
Leo Mbowe kwa sababu ya maslahi yake binafsi ndio anakuja na agenda ya utaifa ...
Oooh tuungane!

Mbowe,Lissu na Lema mmeweka familia zenu ulaya halafu mnataka kuwatumia watanzania kama daraja lenu kusaka ukubwa na ulaji....
NO!.....NO!....NOOOOOH!
KAZILETENI FAMILIA ZENU NA MUWE MSTARI WA MBELE ..
Siyo kuwapandusha Mori wananchi huku mkiwa na Passport mifukoni.
 
Mkuu Niamini Mimi Hii kitu Haiwezekani..
Askari wa Jeshi 5000?

Maana yake anamuagiza CDF amuagize Brigedia Genaral (Brigedia Jenerali)
Kuleta Bregade in combat yaani Several Battalions in action for Just Cleaning purpose..?

Kuiweka Brigade sehemu inahitaji kuwepo Brigedia jenerali, subornates Wake kama Colonel (Kanali),Liutenants colonel (Ma Luteni kanali) kadhaa na Vyeo vingine vya chini yake ambavyo vyote vipo kwenye Chain of Commands..

Sio kitu chepesi kama Tunavyofikiria..!
Posho zao tu hatuna uwezo wa Kuzilipa kwa pamoja.. leo Tuote more than 20 Platoon kwa mambo ya kisiasa Never, Haiwezi kutokea
Kwa hiyo Chalamila aliropoka
 
Kwa hiyo kazi ya JWTZ kwa sasa ni kuzibua mitaro kozoa taka kwenye jiji🤣🤣🤣
 
US ndo nchi yenye strong army and battle nyingi duniani.

Haijawai kutokea Kwa Governor au Senetor yeyote kuliamrisha jeshi la Marekani kuzibua vyoo,mitaro na kuzoa takataka. Ata hapo jirani Kenya haijawai kutokea KDF kuwa deployed kuzoa taka Nairobi.

Chalamila amepata wapi mamlaka ya ku deploy Soldiers 5000? Ku deploy Police Force 8000?

Hivi huyu RC mpaka muda huu anafanya Nini ofisini.

Ni aibu JWTZ kuzoa vinyesi, mikojo na matakataka wakati izo ni kazi za Halimashauri.
Anatenguliwa leo usiku na nafasi yake anachukua Ally Hapi
 
Achana na hao mashoga askari wa US. Jeshi ni kutumikia wananchi kwenye amani na vita. Wao kuja mitaani kusaidia usafi ni katika kujenga mahusiano na wananchi.
Kuna siku mtawataka wanajeshi wawafulie hata nguo zenu za ndani mkidai ndiyo uimarishaji wa mahusiano.
 
Back
Top Bottom