Ni fedheha Serikali kujinasibu kukusanya bil 291 kupitia utalii huku ikichangisha raia maskini pesa na tozo kandamizi

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwanini kuwe na tozo za miamala ya simu na benki kama utalii tu unakusanya bil 291?

Kwa nini serikali inaruhusu michango ya maendeleo mashuleni wakati utalii unazlihsa pesa ambazo zinatosha kuhudumia mashule na kujenga matundu ya vyoo.

Unajinasibu nini?
 
Siku Afrika mkifika nusu ya maendeleo ya US mniue.
Afrika kila Mtumishi anawaza kupiga dili kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…