Habari zenu ndugu zangu.
Kuna mambo Huwa nashindwa kuyaelewa.
Watanzania tumekuwa na kasumba za ajabu, Umaskini wa baadhi umetufanya tuwe na roho mbaya, chuki, husda Kwa waliofanikiwa bila hata sababu ya msingi.
Nimeshuhudia na kusikia hadithi za watu wengi waliofanikiwa sehemu ninazoishi kutoka Kwa watu wasiofanikiwa asilimia kubwa Huwa ni uongo na chuki binafsi.
Mawazo ya mtanzania yanawaza kila aliyefanikiwa ni mtoa kafara ama freemason, tena kama ametoka familia ya kimaskini bahati ikawa upande wake akafanikiwe, kelele zitakuwa kila kona mpaka Kwa ndugu zake akituhumiwa uchawi.
Hizi fikra zitatuisha lini?
Hivi ni kweli tunajiaminisha jamii zetu haziwezi kufanikiwa bila uchawi?
Kwa Nini tunakuwa na chuki, husda na roho mbaya Kwa wenzetu waliotuzidi kimaisha? Sababu Huwa ni hasa?
Unawezaje kumchukia mtu kisa tu kafanikiwa kuliko wewe?
Kuna mambo yanashangaza kwenye hii Dunia
Kuna mambo Huwa nashindwa kuyaelewa.
Watanzania tumekuwa na kasumba za ajabu, Umaskini wa baadhi umetufanya tuwe na roho mbaya, chuki, husda Kwa waliofanikiwa bila hata sababu ya msingi.
Nimeshuhudia na kusikia hadithi za watu wengi waliofanikiwa sehemu ninazoishi kutoka Kwa watu wasiofanikiwa asilimia kubwa Huwa ni uongo na chuki binafsi.
Mawazo ya mtanzania yanawaza kila aliyefanikiwa ni mtoa kafara ama freemason, tena kama ametoka familia ya kimaskini bahati ikawa upande wake akafanikiwe, kelele zitakuwa kila kona mpaka Kwa ndugu zake akituhumiwa uchawi.
Hizi fikra zitatuisha lini?
Hivi ni kweli tunajiaminisha jamii zetu haziwezi kufanikiwa bila uchawi?
Kwa Nini tunakuwa na chuki, husda na roho mbaya Kwa wenzetu waliotuzidi kimaisha? Sababu Huwa ni hasa?
Unawezaje kumchukia mtu kisa tu kafanikiwa kuliko wewe?
Kuna mambo yanashangaza kwenye hii Dunia