Pre GE2025 Ni fursa na wakati sasa Wanawake kushika hatamu za juu ndani ya CHADEMA

Pre GE2025 Ni fursa na wakati sasa Wanawake kushika hatamu za juu ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa unavyoona mambo yalivyo pale BAWACHA au hata BAVICHA, nani unadhani anaweza kuwa Mwanamke wa nguvu wa kwanza kushika wadhifa wa juu wa chama hicho Kikuu cha upinzani ukiachilia mbali uongozi alionao sasa kulingana na kundi alilopo ndani ya chama hicho?

Je, ni Catherine Ruge au Halima Mdee, we unadhani ni nani atakua wa kwanza? 🐒
 
CCM yaonekana mmeshikwa pabaya sana na Mh. Mbowe!!
Sasa ni hivi CDM ndiyo itaamua ni lini MWAMBA atapumzika na siyo ninyi,

ni hivi, lazima muemdelee kuchezeshwa dance pekupeku.
 
CCM yaonekana mmeshikwa pabaya sana na Mh. Mbowe!!
Sasa ni hivi CDM ndiyo itaamua ni lini MWAMBA atapumzika na siyo ninyi,

ni hivi, lazima muemdelee kuchezeshwa dance.
sasa fuso mwamba si amesema mwenyewe hadharani mchana kweupeee bila kushurtishwa na mtu yeyote?🐒

kuna ubaya gani wanawake pale Chadema wakaanza kujipanga na kujiandaa kuchukua nafasi na kuipa Chadema sura, uelekeo na pumzi mpya?🐒
 
sasa fuso mwamba si amesema mwenyewe hadharani mchana kweupeee bila kushurtishwa na mtu yeyote?🐒

kuna ubaya gani wanawake pale Chadema wakaanza kujipanga na kujiandaa kuchukua nafasi na kuipa Chadema sura, uelekeo na pumzi mpya?🐒
Waache CDM na mambo yao, muda huu uliobakia kidogo mshtue mama Abdul kwamba shughuli inayokuka ni pevu balaa.
 
Waache CDM na mambo yao, muda huu uliobakia kidogo mshtue mama Abdul kwamba shughuli inayokuka ni pevu balaa.
mimi sina shida na CDM hata kidogo,

nimeona tu kama kauli ya mwenyekiti ataisimamia na kutekeleza basi ni fursa kwa wanawake na wao kupata nafasi za juu kwenye maamuzi ya chama,

na kwahivyo yafaa wajiandae na wajipange vizur mapema na jukumu hilo kubwa ndani ya chama chao...!

kwani kuna makosa kama mtaalamu wa siasa, kuuliza wadau kwamba ni nani miongni mwa wanawake pale Chadema atakua wa kwanza kwenye uongozi wa juu wa chama kwa ujumla?🐒
 
mimi sina shida na CDM hata kidogo,

nimeona tu kama kauli ya mwenyekiti ataisimamia na kutekeleza basi ni fursa kwa wanawake na wao kupata nafasi za juu kwenye maamuzi ya chama,

na kwahivyo yafaa wajiandae na wajipange vizur mapema na jukumu hilo kubwa ndani ya chama chao...!

kwani kuna makosa kama mtaalamu wa siasa, kuuliza wadau kwamba ni nani miongni mwa wanawake pale Chadema atakua wa kwanza kwenye uongozi wa juu wa chama kwa ujumla?🐒

..ktk uchaguzi wa 2020 Chadema walikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni kuliko Ccm.
 
..ktk uchaguzi wa 2020 Chadema walikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni kuliko Ccm.
huenda uko sahihi na hilo ni jambo zuri sana kwa afya ya Demokrasia kuelekea 50/50 kwenye vyombo vya maamuzi,

hata hivyo, hoja yangu inalenga zaidi wanawake Chadema na fursa ya nafasi ya uongozi ambayo mwenyekiti wa Chadema taifa anakusudia kuiachia wakati ujao,

Je,
wapo wanawake Chadema wenye sifa na vigezo kurithi mikoba ya Mbowe au hata chini ya nafasi hiyo? ni akina nani kwa mfano 🐒
 
Back
Top Bottom