hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Wakuu igweee
Nina gari yangu fuso tani 20 imepata ajari pale mitaa ya Kibaha
Sasa nataka kwenda kunyosha na nimeambiwa na watu gereji mzuri ziko Moshi
So kwa watu wenye uzoefu tafadhari sana naomba mnisaidie kujua ni gereji ipi ina kiwango kikubwa na mafundi wazuri
Nina gari yangu fuso tani 20 imepata ajari pale mitaa ya Kibaha
Sasa nataka kwenda kunyosha na nimeambiwa na watu gereji mzuri ziko Moshi
So kwa watu wenye uzoefu tafadhari sana naomba mnisaidie kujua ni gereji ipi ina kiwango kikubwa na mafundi wazuri