Ni Graduation ya Shule au ya Birthday....

Ni Graduation ya Shule au ya Birthday....

Mfiaukweli

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2018
Posts
5,636
Reaction score
8,777
...nipo kwenye dala dala kuelekea Tegeta Nyuki. Namsikia abiria mmoja anaongea na mtu kupitia simu yake. Nothing wrong with that hadi nilipomsikia akisema: "mko kwenye graduation ya shule au graduation ya besidei....?"
Wabongo tuna mambo!
 
Nature ya abiria kama huyo Unaweza ukaotea na route ya basi kabisa.
 
...nipo kwenye dala dala kuelekea Tegeta Nyuki. Namsikia abiria mmoja anaongea na mtu kupitia simu yake. Nothing wrong with that hadi nilipomsikia akisema: "mko kwenye graduation ya shule au graduation ya besidei....?"
Wabongo tuna mambo!
Atakuwa mhaya huyo haswa yule amabye hakwenda shule 😵😵😵😵😵
 
Back
Top Bottom