Ni haki HESLB kuikopesha DANIDA?

Ni haki HESLB kuikopesha DANIDA?

tatanyengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,133
Reaction score
280
Nimeshangazwa na habari kuwa katika kuokoa jahazi la STRABAG serikali imeomba bodi ya mikopo itoe fedha lakini bodi ikasema fedha ilienda DANIDA.Habari kamili iko kwenye thread kwenye jukwaa la siasa yenye kichwa: Kinana,serikali na pesa za wafanyakazi wa STRABAG - Part 2. Kwa mujibu wa habari hiyo, fedha ya STRABAG ilichotwa kugharimia safari za Kinana na sherehe za muungano na sasa wafanyakazi wamegoma wanataka chao - serikali imehaha.
 
Nimeshangazwa na habari kuwa katika kuokoa jahazi la STRABAG serikali imeomba bodi ya mikopo itoe fedha lakini bodi ikasema fedha ilienda DANIDA.Habari kamili iko kwenye thread kwenye jukwaa la siasa yenye kichwa: Kinana,serikali na pesa za wafanyakazi wa STRABAG - Part 2. Kwa mujibu wa habari hiyo, fedha ya STRABAG ilichotwa kugharimia safari za Kinana na sherehe za muungano na sasa wafanyakazi wamegoma wanataka chao - serikali imehaha.

Ndio maana ikapostiwa kwenye Jukwaa la Siasa, ingekuwa imepostiwa kwenye Jukwaa la MMU au kwenye Jukwaa la Jokes ingekuwa angalai serious. Unaijua Denmark wewe? Unazijua Nchi za Scandnavia wewe?

Be serious Dogo!
 
Back
Top Bottom