Polisi huko Songea wanamtafuta mtoto wa darasa la Sita kwa kumvisha mbwa tisheti ya CCM. Hata watoto wamechoshwa na CCM. Huyo mtoto asisumbuliwe. Ameonyesha uzalendo wake. Watanzania wote waige mfano. Popote pale mbwa walipo wakamatwe, wapewe zawadi za CCM dakika hizi za lala salama.[/QUO................
sasa!...INAHUSU!!!!
Kwani shida iko wapi kumvika mbwa gauni au nguo ya aina yoyote? Check hizi picha za mbwa na tishet ya Obama. Kama obama anvaliwa na mbwa who is Kikwete?
View attachment 15805View attachment 15806
Problem ni kwamba hawa polisi wetu hawajui sheria na ndio wanapenda kunyanyasa wananchi. Mfano ya polisi kupiga watu walio kwisha kukubali arrest. That is wrong and things need to change! POLISI ACHENI KUNYANYASA WATANZANIA KWA UJINGA WENU. We are free people as long atuvunji sheria.
Hapana, wewe una lako jambo, si lazima ishu za udini zije hapaHii inaonesha kabisa siasa za Tanzania ni za KIDINI. Huyu mtoto katumwa na Vigogo fulani, ili wamtukane KIKWETE kwa sababu ni muislamu. Ktk, Mbwa ni Najisi kubwa.
Waislamu watafanya juu na chini kuhakikisha huyu PADRE Slaa haongozi nchi.