Ngudu wadau wa Lugha ya kiswahili,ninaomba kupata maoni yenu kuhusu mada tajwa hapo juuu,
Ninasikitishwa na kitendo cha Baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini kufundisha lugha ya kiswahili kwa kutumia lugha ya kiingereza,jambo hili linafanyika katika ngazi ya Shahada na Shahada ya uzamili,mfano chuo kimoja Wahadhiri wanafundisha Fasihi ya kiswahili kwa lugha ya kiingereza sasa wadau najiuliza
1.Kuna sababu ya msingi kufundisha Lugha ya kiswahili kwa kiingereza?
2.kuna umhimu wa kufundisha fasihi ya kiswahili kwa kiingereza?
3.je mtu anaweza kusoma na kuandika Riwaya,Tamthiliya na Ushairi wa kiswahili bila kusoma sarufi ya kiswahili kwa kina?
Ninasikitishwa na kitendo cha Baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini kufundisha lugha ya kiswahili kwa kutumia lugha ya kiingereza,jambo hili linafanyika katika ngazi ya Shahada na Shahada ya uzamili,mfano chuo kimoja Wahadhiri wanafundisha Fasihi ya kiswahili kwa lugha ya kiingereza sasa wadau najiuliza
1.Kuna sababu ya msingi kufundisha Lugha ya kiswahili kwa kiingereza?
2.kuna umhimu wa kufundisha fasihi ya kiswahili kwa kiingereza?
3.je mtu anaweza kusoma na kuandika Riwaya,Tamthiliya na Ushairi wa kiswahili bila kusoma sarufi ya kiswahili kwa kina?