Ni haki ya CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa kishindo kwasababu iliwaahidi wananchi na kutekeleza ahadi zote kwa maneno na vitendo kwa uaminifu mkubwa

Ni haki ya CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa kishindo kwasababu iliwaahidi wananchi na kutekeleza ahadi zote kwa maneno na vitendo kwa uaminifu mkubwa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Na kwa safu ya uongozi na wagombea uongozi wake kwenye ngazi ya urais na umakamu wa Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar,

Ni wazi CCM madhubuti imejipanga vizuri mapema kabisa kwa makusudi ili kushinda nafasi hizo kwa kishindo kikuu Oct 2025.

CCM inaamnika,
CCM inakubalika kwa wote, CCM imejipanga kushinda uchaguzi kwa kishindo, CCM imejipanga kushika dola, kuunda serikali na kuongeza nchi, lakini pia CCM ni ya waTanzania wote.

Hongera wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM taifaa kwa kauli moja, kuridhia utaratubu huu wa kistaarabu katika muda wa mapema zaidi ukilinganisha na vipindi vingine.

Hongera Dr.Samia Suluhu Hassan mgombea urasi na Dr Emmanuel Nchimbi mgombea mwenza wa urasi wa JMT, na hongera sana Dr.Hussen Alli Mwinyi kua mgombea urasi wa Zanzibar.🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
 
Na kwa safu ya uongozi na wagombea uongozi wake kwenye ngazi ya urais na umakamu wa Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar,

Ni wazi CCM madhubuti imejipanga vizuri mapema kabisa kwa makusudi ili kushinda nafasi hizo kwa kishindo kikuu Oct 2025.

CCM inaamnika,
CCM inakubalika kwa wote, CCM imejipanga kushinda uchaguzi kwa kishindo, CCM imejipanga kushika dola, kuunda serikali na kuongeza nchi, lakini pia CCM ni ya waTanzania wote.

Hongera wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM taifaa kwa kauli moja, kuridhia utaratubu huu wa kistaarabu katika muda wa mapema zaidi ukilinganisha na vipindi vingine.

Hongera Dr.Samia Suluhu Hassan mgombea urasi na Dr Emmanuel Nchimbi mgombea mwenza wa urasi wa JMT, na hongera sana Dr.Hussen Alli Mwinyi kua mgombea urasi wa Zanzibar.🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
Ni kweli waliwaahidi kwa maneno na vitendo kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Ni jinga na tapeli pekee anayeweza kuchagua kijani na majizi
 
Mimi nadhani tuache kubwabwajabwabwaja wapendwa. Kama hayo yote unayoyasema yangekuwa sahihi ndg mwandishi wala Tusingeona engua engua wagombea wa Upinzani wala tusingeona wizi wa kura na makura bandia kwenye uchaguzi. Hayo ya engua wapinzani na wizi wa kura yapo kwa kuwa kuna pahala CCM imepwaya. Ivo yan
 
Na kwa safu ya uongozi na wagombea uongozi wake kwenye ngazi ya urais na umakamu wa Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar,

Ni wazi CCM madhubuti imejipanga vizuri mapema kabisa kwa makusudi ili kushinda nafasi hizo kwa kishindo kikuu Oct 2025.

CCM inaamnika,
CCM inakubalika kwa wote, CCM imejipanga kushinda uchaguzi kwa kishindo, CCM imejipanga kushika dola, kuunda serikali na kuongeza nchi, lakini pia CCM ni ya waTanzania wote.

Hongera wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM taifaa kwa kauli moja, kuridhia utaratubu huu wa kistaarabu katika muda wa mapema zaidi ukilinganisha na vipindi vingine.

Hongera Dr.Samia Suluhu Hassan mgombea urasi na Dr Emmanuel Nchimbi mgombea mwenza wa urasi wa JMT, na hongera sana Dr.Hussen Alli Mwinyi kua mgombea urasi wa Zanzibar.🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
Flyovers mpya ziko wapi
 
Ni kweli waliwaahidi kwa maneno na vitendo kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Ni jinga na tapeli pekee anayeweza kuchagua kijani na majizi
huna haja kuwadhihaki waTanzania kwa chuki binafsi gentleman 🐒
 
Mimi nadhani tuache kubwabwajabwabwaja wapendwa. Kama hayo yote unayoyasema yangekuwa sahihi ndg mwandishi wala Tusingeona engua engua wagombea wa Upinzani wala tusingeona wizi wa kura na makura bandia kwenye uchaguzi. Hayo ya engua wapinzani na wizi wa kura yapo kwa kuwa kuna pahala CCM imepwaya. Ivo yan
katika kuimarisha utendaji na kuongeza ufanisi katika kuwatumikia waTanzania, suala la kuwaondoa au kuwabadilisha waTendaji serikalini ni la kawaida na endelevu kote ulimwenguni.

Kuna haja gani kung'ag'ana na mtendaji asieendana na malengo na Kasi ya mabadiliko ya maendeleo yaliyokusudiwa na CCM kwa wanainchi?


Lazima kuwepo na waTendaji wabunifu na wachapa kazi serikalini gentleman 🐒
 
Na kwa safu ya uongozi na wagombea uongozi wake kwenye ngazi ya urais na umakamu wa Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar,

Ni wazi CCM madhubuti imejipanga vizuri mapema kabisa kwa makusudi ili kushinda nafasi hizo kwa kishindo kikuu Oct 2025.

CCM inaamnika,
CCM inakubalika kwa wote, CCM imejipanga kushinda uchaguzi kwa kishindo, CCM imejipanga kushika dola, kuunda serikali na kuongeza nchi, lakini pia CCM ni ya waTanzania wote.

Hongera wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM taifaa kwa kauli moja, kuridhia utaratubu huu wa kistaarabu katika muda wa mapema zaidi ukilinganisha na vipindi vingine.

Hongera Dr.Samia Suluhu Hassan mgombea urasi na Dr Emmanuel Nchimbi mgombea mwenza wa urasi wa JMT, na hongera sana Dr.Hussen Alli Mwinyi kua mgombea urasi wa Zanzibar.🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
Mbona huwa mnaunda tume za mafisadi Tena nyuma ya mikamera halafu majibu ya hizo tume nyuma ya pazia je mafisadi ambao hamuwakamati niwaaminifu

Commission of inquiries are for public interest not personal use
 
Unataka tulete Ilani hapa.
Ilani ya uchaguzi ya CCM ndiyo inayotekelezwa kwa mujibu wa katiba ya nchi.

Iko wazi kwenye public domain labda uweke za wengine zilizo gizani 🐒
 
Mbona huwa mnaunda tume za mafisadi Tena nyuma ya mikamera halafu majibu ya hizo nyuma ya pazia je mafisadi ambao hamuwakamati niwaaminifu

Commission of inquiries are for public interest not personal use
Gentleman,
Tume na kamati mbalimbali za kitafiti na uchuguzi zitaendelea kuundwa kadiri itakavyoonekana inafaa na matokeo yake kutolewa kwa uma kadiri itakavyonekana inafaa pia 🐒
 
Nyie subirini muone maajabu, munapanga utadhani nyie ni Mungu, mazoe yana mwisho mbaya sana
 
acheni kuporwa gentleman, ni tabia ya uzembe. Au mna haki miliki ya kuporwa?🐒
Uchaguzi uwe wa haki kama ule wa cdm, hata muweke utekelezaji wa huo utapeli wenu uitwao ilani ndani ya vyumba vya kura, mtaona mtapa kura ngapi, hapo mtajua watanzania waliwachoka zamani kiasi gani.
 
Mimi nadhani tuache kubwabwajabwabwaja wapendwa. Kama hayo yote unayoyasema yangekuwa sahihi ndg mwandishi wala Tusingeona engua engua wagombea wa Upinzani wala tusingeona wizi wa kura na makura bandia kwenye uchaguzi. Hayo ya engua wapinzani na wizi wa kura yapo kwa kuwa kuna pahala CCM imepwaya. Ivo yan
💯%👏
 
Uchaguzi uwe wa haki kama ule wa cdm, hata muweke utekelezaji wa huo utapeli wenu uitwao ilani ndani ya vyumba vya kura, mtaona mtapa kura ngapi, hapo mtajua watanzania waliwachoka zamani kiasi gani.
haki ya kuporwa si yenu gentleman?🐒
 
Nyie subirini muone maajabu, munapanga utadhani nyie ni Mungu, mazoe yana mwisho mbaya sana
kuzoea kuporwa ni uzembe wa kiwango cha juu sana gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom