Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 277
Nimeona mara nyingi mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo Karatu kufungua kesi za Jinai pasipo malalamiko au mashtaka kupitia polisi. Je, wadau utaratibu huu ni halali kisheria na katika kesi hizo washitakiwa wamekuwa wakinyimwa hata fursa za kujitetea na kwa vile kesi inachukua muda mrefu washitakiwa wamekuwa wakiteseka kwa muda mrefu kwa kufika Mahakamani pasipo kusikilizwa ama kuonewa kwa kesi kama hizo ambazo mara nyingi zinafunguliwa kwa ubabe.
Kesi hizo zinajenya mianya ya rushwa na uonevu kwa raia wasio na hatia,
Ninatumaini chini Serikali ya Rais John Maguguli na Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Harryson Mwakyembe, uonevu huu utakoma.
Kesi hizo zinajenya mianya ya rushwa na uonevu kwa raia wasio na hatia,
Ninatumaini chini Serikali ya Rais John Maguguli na Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Harryson Mwakyembe, uonevu huu utakoma.