NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
lakini mama, kumbuka kuwa hata barmaids nao ni wanawake na wanapaswa kuwa na wenza kama wengine tu!!!!!
Muulize huyo jamaa mke wake akiliwa na shamba boy itakuwaje, ni raha pia au? Maana tuangalie pande zote zote
Kama alitongoza pasipo house girl kushurutishwa nae house girl ana haki ya kupata kitu roho inapenda kwa mujibu wa katiba.
lakini mama, kumbuka kuwa hata barmaids nao ni wanawake na wanapaswa kuwa na wenza kama wengine tu!!!!!
Nina jamaa yangu ambaye sera yake ni kufanya mapenzi na housegirl wake. Hoja yake ni kuwa house girl ni spare tyre zuri. Halafu anapata munkari kuona anamwibia mkewe mle mle ndani ya nyumba na wife hajui. Hiyo anasema inampa raha sana. Nini maoni yenu. Je kitendo hiki ni kizuri kwa ndoa yake?
Muulize huyo jamaa mke wake akiliwa na shamba boy itakuwaje, ni raha pia au? Maana tuangalie pande zote zote
Hivii housegirl sio mtu jamni maana naona baadhi ya coments zinawaponda sn! wapendeni jamni ni binadamu kama wengineo!! :redfaces: