Ni halali kulipa 15,000 kwa kila topic ya mathematic ya advance wana jf mliosoma math

inaeza kua halali kwani elimu pia ni ghali sana siku izi ila kuna topics zengine mtu unaeza cover tu alone..
NB:ukiona elimu ghali basi jaribu ujinga!
 
toa hela acha ugumu.kama vp jifundishe mwenyewe
 
Ukiona Elimu ghali jaribu ujinga.
 
kama huwezi kusoma tuition subiri darasani uje ufundishwe umesikia?
 
Kama unaona nyingi sana hiyo hela. Komaa mwenyewe kwani tuition kitu gani?! Mi nilikomaa kivyangu na nikatusua vzr tu bila ya tuition. Ila mazoezi ya mara kwa mara na ulipende somo lenyewe!
Hamna somo tamu na jepesi kama hesabu! Lakini sikuhizi watoto wengi wanakimbia somo hili. Nafkiria kujitolea kufundisha hili somo kulinusuru taifa langu.
 
Dogo, masomo yanayo ambatana na sayansi kwa hapa Tz usiwe mbahili, hivi unadhani Differential akufundishe kwa 5,000?

Gharamia aisee ndio mazingira yetu yalivyo na unabahati kweli huko Songea kuna tuition za Advance siku hizi, toa pesa upate elimu mdogo wangu.
 
Si tulikuwa tunaenda mwenge sehemu inaitwa mzumbe remix maTO ndio walikuwa wanafundisha kila kipindi buku 2 xa inategemea na mkoa uliopo na hapo ni maka ya kati ya 2000
 
Ni sahihi. Kwa mfano mm nafundisha Topics zote za Advanced Maths kwa 15,000/= isipokuwa isipokuwa Calculating Devices - 10,000/= , Probability 20,000/= Differentiation na Integration @20,000/=( full na applications zake),
 
15 mbona kidogo sana wakati ukienda pale mwenge/mapambano kupiga weekend pepa moja unatoa 1000? ila kama vp we tulia tu kama unaona ni pesa kubwa.
 
Unashangaa nini tumepitia huko we toa tu hela, ka vp subiri darasani.
 
Naomba msaada wenu wana jf kama title inavyoulza.
HILI SWALI HALIJIBIKI. nani anahakiki uhalali wa kiwango cha malipo na kwa means zipi? tuition ni maelewano. kama mwalimu ni mzuri na unamwelewa vyema mlipe hata 20,000 kwa topic ila kama una hela na kama huna inabidi utafute wa bei nafuu but every choice has consequences, unaweza kuchagua unafuu wa gharama kumbe pia umechagua ubovu wa elimu. unafikiri sayansi mchezo wewe.
 
Inategemea na topic unayosoma mimi nilisoma Calculus kwa 15,000,Probability kwa 7,000 ila topic zingine ni uzembe kusoma tuition bora utafute mwanafunzi mwenzako aliyekofit unamwomba akufundishe eg. Sets,Logic,Calculating Devices
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…