Ni halali kumuacha mkeo kisa hajui kupika?

Ningekuwa wazazi wa msichana ningemtimua mbio huyo mwanaume anayenirudishia mtoto kwa sababu hajui kupika. Atanieleza kama nilimzalia mpishi! Haujui kuna cookery schools tena he can enrol himself and his wife. Akishindwa ampeleke kwa mamake amfundishe kumpikia. Otherwise atakuta panga mlangoni.!!!!? Ssssseeeee!!!!?
 
Thanks Lizzy is good in kitchen and on six by six!
 
Hahahahahahaha,mkuu punguza hasira basi...........

mwenzanguuuu...so ata kazi ya kuwabeba tumbon miez tisa ,kuwanyonyesha na kwaangaikia kote kule ni katika kuwaservr wanaume?ebu mie:redfaces::redfaces::redfaces:
 



Sasa unakataa hata majukumu mama ndani ya nyumba.....
 
its written mpenzi.... maandiko matakatifu pia husema hivyo

basi naomba nikubali tu mpz.sawa.:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfac
 
Sasa unakataa hata majukumu mama ndani ya nyumba.....

dzain anataka haki sawa
naosha vyombo we kadek
mi napika wali we pika mchicha si KILA KITU UMWACHIE MKIKE..labda anamanisha ivo
 
basi naomba nikubali tu mpz.sawa.:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfac

natengua kauli yangu basi ........ we do serve each other.....how about that?
 
dzain anataka haki sawa
naosha vyombo we kadek
mi napika wali we pika mchicha si KILA KITU UMWACHIE MKIKE..labda anamanisha ivo




Huyu ninayemsimulia wake alipika mchicha akauunguza.
 
natengua kauli yangu basi ........ we do serve each other.....how about that?

yeeeeeeees nw u tok
very humour,very carefull ,kindness n cherish iz A into your statement
ya kwanza ilikaa kikatili zaid..ASANTE KWA KUFUTA KAUL N NW AT LEAST I CAN:teeth::teeth::teeth:
na naweza nkaenda lala sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…