Ni halali kwa Mch. Msigwa kuikosoa CHADEMA?

Ni halali kwa Mch. Msigwa kuikosoa CHADEMA?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Mimi siyo mfuasi wa Chama Chochote cha siasa, ila ni mpiga kuta mwaminifu. Sichagui Chama, namchagua mtu.

Msigwa ni mwanachama wa CCM kwa sasa. Lakini miezi michache iliyopita, alikuwa CHADEMA akiwa ni mmoja wa viongozi waandamizi wa hicho chama.

Baada ya kuhamia CCM, amegeuka kuwa mmoja wa wakosaoaji wakubwa wa CHADEMA, Chama alichokitumikia kwa zaidi ya miaka kumi.

Japo ni kawaida wanasiasa kukosoa vyama hasimu, naona kama Msigwa anakosea kuikosoa CHADEMA. Ukosoaji wake unaweza kumpunguzua credits toka kwa wapiga kura.

1. Angeweza kuonekana ana hoja kama angekuwa ameondoka angali na wadhifa. Kitendo cha yeye kuondoka baada ya kukosa uwennyekiti wa Kanda kutaleta tafsiri kuwa anakosoa kwa kuwa alikosa madaraka

2. Kahamia CCM kwa kuwa kaona kuwa ni Chama kizuri kuzidi CHADEMA. Lakini CCM bado haijarekebisha mambo ambayo wana CHADEMA walikuwa wakiyalalamikia kwa muda mrefu. Msimamo wake kwa sasa utabadilika au naye sasa atakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa wakituhumiwa na vyama vya upinzani?

Kwa mfano:
A. Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA walioingizwa bungeni kibabe kinyume cha Katiba

B. Manung'uniko kuwa CCM huwa inaiba kura kama ilivyotukia mwaka 2020

C. CCM kuhusishwa na kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA

Japo mimi si mtaalam wa Siasa, lakini naona kuwa ni bora Msigwa angeepuka kuikosoa CHADEMA kwa sasa kwani kufanya hivyo ni kujiabisha.

Angeiga mfano wa hayati Edward Lowassa na Mh. Lazaro Nyalandu.

Lowassa alipoenda CHADEMA, hakuiporomoshea CCM matusi. Na hata aliporejea CCM, alifunga kinywa chake dhidi ya CHADEMA.

Hata Nyalandu naye, baada ya kurudi CCM, hakuanzisha vita na CHADEMA.

Msigwa naye anaweza kujijengea heshima kisiasa bila kukituhumu Chama kilichomlea.
 
Yuko sahihi sana mana akiisifia itatushangaza kwanini aliondoka.. Amejawa Tamaa za pesa za Fisiemu.

Nchi ngumu sana hii
 
Usiwamini wana siasa mkuu,hawana tofauti na wanawake .wanabadilika kulingana na halii iliyopo Kwa wkt huoo..

Ni huzuni
 
Mimi siyo mfuasi wa Chama Chochote cha siasa, ila ni mpiga kuta mwaminifu. Sichagui Chama, namchagua mtu.

Msigwa ni mwanachama wa CCM kwa sasae. Lakini miezi michache iliyopita, alikuwa ni CHADEMA akiwa ni mmoja wa viongozi waandamizi wa hicho chama.

Baada ya kuhamia CCM, amegeuka kuwa mmoja wa wakosaoaji wakubwa wa CHADEMA, Chama alichokitumikia kwa zaidi ya miaka kumi.

Japo ni kawaida wanasiasa kukosoa vyama hasimu, naona kama Msigwa anakosea kuikosoa CHADEMA. Ukosoaji wake unaweza kimpunguzua credits toka kwa wapiga kura.

1. Angeweza kuonekana ana hoja kama angekuwa ameondoka angali na wadhifa. Kitendo cha yeye kuondoka baada ya kukosa uwennyekiti wa Kanda kutaleta tafsiri kuwa anakosoa kwa kuwa alikosea madaraka

2. Kahamia CCM kwa kuwa kaona kuwa ni Chama kizuri kuzidi CHADEMA. Lakini bado CCM bado haijarekebisha mambo ambayo wana CHADEMA walikuwa wakiyalalamikia kwa muda mrefu. Msimamo wake kwa sasa utabadilika au naye sasa atakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa wakituhumiwa na vyama vya upinzani?

Kwa mfano:
A. Wabunge 19 wa viti maalum walioingizwa bungeni kibabe kinyume cha Katiba

B. Manung'uniko kuwa CCM huwa inaiba kura kama ilivyotukia mwaka 2020

C. CCM kuhusishwa na kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA

Japo mimi si mtaalam wa Siasa, lakini naona kuwa ni bora Msigwa angeepuka kuikosoa CHADEMA kwa sasa kwani kufanya hivyo ni kujiabisha.

Angeiga mfano wa hayati Edward Lowassa na Mh. Lazaro Nyalandu.

Lowassa alipoenda CHADEMA, hakuiporomoshea CCM matusi. Na hata aliporejea CCM, alifunga kinywa chake dhidi ya CHADEMA.

Hata Nyalandu naye, baada ya kurudi CCM, hakuanzisha vita na CHADEMA.

Msigwa naye anaweza kujijengea heshima kisiasa bila kukituhumu Chama kilichomlea.
Hivi bado mnaangaika nae huyu Malaya wa kisiasa? Ameshapoteza muelekeo kwanza CCM wenyewe wanamng’ong’a tu. Hana akili hata kidogo wanajua ataenda na ACT atamwaga ya CCM huko ACT pia.
 
Mimi siyo mfuasi wa Chama Chochote cha siasa, ila ni mpiga kuta mwaminifu. Sichagui Chama, namchagua mtu.

Msigwa ni mwanachama wa CCM kwa sasae. Lakini miezi michache iliyopita, alikuwa ni CHADEMA akiwa ni mmoja wa viongozi waandamizi wa hicho chama.

Baada ya kuhamia CCM, amegeuka kuwa mmoja wa wakosaoaji wakubwa wa CHADEMA, Chama alichokitumikia kwa zaidi ya miaka kumi.

Japo ni kawaida wanasiasa kukosoa vyama hasimu, naona kama Msigwa anakosea kuikosoa CHADEMA. Ukosoaji wake unaweza kimpunguzua credits toka kwa wapiga kura.

1. Angeweza kuonekana ana hoja kama angekuwa ameondoka angali na wadhifa. Kitendo cha yeye kuondoka baada ya kukosa uwennyekiti wa Kanda kutaleta tafsiri kuwa anakosoa kwa kuwa alikosea madaraka

2. Kahamia CCM kwa kuwa kaona kuwa ni Chama kizuri kuzidi CHADEMA. Lakini bado CCM bado haijarekebisha mambo ambayo wana CHADEMA walikuwa wakiyalalamikia kwa muda mrefu. Msimamo wake kwa sasa utabadilika au naye sasa atakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa wakituhumiwa na vyama vya upinzani?

Kwa mfano:
A. Wabunge 19 wa viti maalum walioingizwa bungeni kibabe kinyume cha Katiba

B. Manung'uniko kuwa CCM huwa inaiba kura kama ilivyotukia mwaka 2020

C. CCM kuhusishwa na kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA

Japo mimi si mtaalam wa Siasa, lakini naona kuwa ni bora Msigwa angeepuka kuikosoa CHADEMA kwa sasa kwani kufanya hivyo ni kujiabisha.

Angeiga mfano wa hayati Edward Lowassa na Mh. Lazaro Nyalandu.

Lowassa alipoenda CHADEMA, hakuiporomoshea CCM matusi. Na hata aliporejea CCM, alifunga kinywa chake dhidi ya CHADEMA.

Hata Nyalandu naye, baada ya kurudi CCM, hakuanzisha vita na CHADEMA.

Msigwa naye anaweza kujijengea heshima kisiasa bila kukituhumu Chama kilichomlea.
Easther Bulaya kanena na kushauri vivyo hovyo.
 
"Akili ndogo inaongoza akili kubwa" - Mch. Peter Msigwa.

Kwa sasa CCM ni akili kubwa?
 
Akumbuke Chadema ilikomtoa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1721892194992.jpg
    FB_IMG_1721892194992.jpg
    53.1 KB · Views: 3
Ni haki yake ya kikatiba

Na usipoteze muda wako kuhangaika na na maisha ya wanasiasa. Wanaweza kufanya lo lote, muda wo wote na po pote hasa wakiahidiwa pesa na madaraka....

IMG-20240718-WA0096.jpg
 
Yawezekana akili yake ndio imefikia ukomo wa kifikiri.
Mwanasiasa makini ni yule asiye msengenyaji Kwa wenzake.
 
Msigwa aliokotwa jalalani na Chadema leo hii amejua kuvaa suti anaipiga madongo,ama kweli mfadhili mbuzi kuna siku utamnywa supu lakini binadamu kuna siku atakukera,ndiyo huyu houseboy wa mzungu anachofanya
 

Attachments

  • FB_IMG_1721892194992~2.jpg
    FB_IMG_1721892194992~2.jpg
    425.4 KB · Views: 3
Mimi siyo mfuasi wa Chama Chochote cha siasa, ila ni mpiga kuta mwaminifu. Sichagui Chama, namchagua mtu.

Msigwa ni mwanachama wa CCM kwa sasa. Lakini miezi michache iliyopita, alikuwa CHADEMA akiwa ni mmoja wa viongozi waandamizi wa hicho chama.

Baada ya kuhamia CCM, amegeuka kuwa mmoja wa wakosaoaji wakubwa wa CHADEMA, Chama alichokitumikia kwa zaidi ya miaka kumi.

Japo ni kawaida wanasiasa kukosoa vyama hasimu, naona kama Msigwa anakosea kuikosoa CHADEMA. Ukosoaji wake unaweza kumpunguzua credits toka kwa wapiga kura.

1. Angeweza kuonekana ana hoja kama angekuwa ameondoka angali na wadhifa. Kitendo cha yeye kuondoka baada ya kukosa uwennyekiti wa Kanda kutaleta tafsiri kuwa anakosoa kwa kuwa alikosa madaraka

2. Kahamia CCM kwa kuwa kaona kuwa ni Chama kizuri kuzidi CHADEMA. Lakini CCM bado haijarekebisha mambo ambayo wana CHADEMA walikuwa wakiyalalamikia kwa muda mrefu. Msimamo wake kwa sasa utabadilika au naye sasa atakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa wakituhumiwa na vyama vya upinzani?

Kwa mfano:
A. Wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA walioingizwa bungeni kibabe kinyume cha Katiba

B. Manung'uniko kuwa CCM huwa inaiba kura kama ilivyotukia mwaka 2020

C. CCM kuhusishwa na kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA

Japo mimi si mtaalam wa Siasa, lakini naona kuwa ni bora Msigwa angeepuka kuikosoa CHADEMA kwa sasa kwani kufanya hivyo ni kujiabisha.

Angeiga mfano wa hayati Edward Lowassa na Mh. Lazaro Nyalandu.

Lowassa alipoenda CHADEMA, hakuiporomoshea CCM matusi. Na hata aliporejea CCM, alifunga kinywa chake dhidi ya CHADEMA.

Hata Nyalandu naye, baada ya kurudi CCM, hakuanzisha vita na CHADEMA.

Msigwa naye anaweza kujijengea heshima kisiasa bila kukituhumu Chama kilichomlea.
Ni lazima aonyeshe kwa umma kwanini au kuna sababu zipi zimemfanya ahame Chama kinyume chake tutamuona kama mpenda madaraka bila kujalisha amehama nyakati gani
 
Back
Top Bottom