Ni halali kwa Mch. Msigwa kuikosoa CHADEMA?


Msigwa ameonyesha ni jinsi gani asivyokuwa na Busara. He is too NAIVE .... Naifikiri hata huo uchungaji anaoudai inawezekana utakuwa ni ule wa mtaani wa kujipachipa.

Nimefuatilia video zake kwa kweli anaongea kwa jazba na vile vile kuna mambo mengi sana anapotosha au kudanganya. Anyway, hata hivyo kisha yasema ..... sasa sijui atayarudia rudia hayo mpaka lini au kuna mengine anatuhifadhia mpaka mwakani .... POOR HIM!!
 
Mkisemwa mnakuwaga na jaziba sana
 
Ika siasa kwa kweli😄

Hata sijui Mzee Kinana anamtazamaje?
 
Mkisemwa mnakuwaga na jaziba sana
Mimi siko huko. Naangalia tu kwa jicho la tatu (a Third part)

Ila, nimemsikia Dada mmoja wa CDM kule SPACE. Ukimsikiza point zake, halafu ukamsikiliza Msigwa .... with a little COMMON SENSE utajua ni nani Nuongo. Cha kujiuliza inakuwaje Msigwa anayejidai ni Mchungaji ni Muongo kiasi hicho....!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…