Ni halali mbunge kuajiriwa Ikulu?

Ni halali mbunge kuajiriwa Ikulu?

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Leo katika hotuba yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samiah Suluhu Hassan amesema ya kwamba atampa kazi Mh Lukuvi ikulu asaidiane naye wakielekea kustaafu na pia kumpatia kazi nje ya mfumo wa kawaida Mh Lukuvi.

Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri na nje ya mfumo rasmi?

Kwa mujibu wa Rais, Mh Kabudi atasimamia mikataba yote na makubaliano yote kati ya serikali na mashirika ya nje. Na hiyo ajira itakuwa nje ya mfumo rasmi wa ajira. Je, atasimamia mikataba kama nani ?. wakati kuna mwanasheria mkuu wa serikali?
 
Leo katika hotuba yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samiah Suluhu Hassan amesema ya kwamba atampa kazi Mh Lukuvi ikulu asaidiane naye wakielekea kustaafu na pia kumpatia kazi nje ya mfumo wa kawaida Mh Lukuvi.

Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri na nje ya mfumo rasmi?.

Kwa mujibu wa Rais, Mh Kabudi atasimamia mikataba yote na makubaliano yote kati ya serikali na mashirika ya nje. Na hiyo ajira itakuwa nje ya mfumo rasmi wa ajira. Je atasimamia atasimamia mikataka kama nani ?. wakati kuna mwanasheria mkuu wa serikali? .
Kuongozwa na mwanamke ni aibu kwa taifa. Matokeo yake ni kama hivi
 
Leo katika hotuba yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samiah Suluhu Hassan amesema ya kwamba atampa kazi Mh Lukuvi ikulu asaidiane naye wakielekea kustaafu na pia kumpatia kazi nje ya mfumo wa kawaida Mh Lukuvi.

Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri na nje ya mfumo rasmi?.

Kwa mujibu wa Rais, Mh Kabudi atasimamia mikataba yote na makubaliano yote kati ya serikali na mashirika ya nje. Na hiyo ajira itakuwa nje ya mfumo rasmi wa ajira. Je atasimamia atasimamia mikataka kama nani ?. wakati kuna mwanasheria mkuu wa serikali? .
Kauli tuu mbona magufuli aliwahi sema atampatia tundu lissu ka kazi kadogo dogo huko ikulu.
Binafsi naona kama kauli ya kumwi enjoy tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika hotuba yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samiah Suluhu Hassan amesema ya kwamba atampa kazi Mh Lukuvi ikulu asaidiane naye wakielekea kustaafu na pia kumpatia kazi nje ya mfumo wa kawaida Mh Lukuvi.

Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri na nje ya mfumo rasmi?.

Kwa mujibu wa Rais, Mh Kabudi atasimamia mikataba yote na makubaliano yote kati ya serikali na mashirika ya nje. Na hiyo ajira itakuwa nje ya mfumo rasmi wa ajira. Je atasimamia atasimamia mikataka kama nani ?. wakati kuna mwanasheria mkuu wa serikali? .

Hakuna kitu hapo ni vile filimbi imevuma sana wameamua kupoza rejeta
 
Kama Samia anasema LUKUVI amemteua kumsaidia huko IKULU kuwaongoza hao mawaziri anaosema wadogo wakina RIDHWANI kuwasimamia; maana yake ni kwamba atachukua kazi ya Majaliwa kama waziri Mkuu!!!
 
Kauli tuu mbona magufuli aliwahi sema atampatia tundu lissu ka kazi kadogo dogo huko ikulu.
Binafsi naona kama kauli ya kumwi enjoy tuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini mkuu hi kauli imetolewa kwenye tukio rasmi na wahusika wakasimamishwa na kupongezwa, lakini kwa Mh Magufuri ilikuwa ni campaign.
 
Ni mbwembwe tu ndio maana hata ruto alisemaga ukisikiliza maneno ya wanasiasa utaumia usiyaweke kwenye moyo yaweke kwenye mapafu ukiwa unapumua na yenyewe yaondoke fyuuuuuu hao wamepigwa biti la wazi wajue kuwa mama anajua mbinu zao kwaiyo hapo kawapunguzia kujiamini
 
Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri na nje ya mfumo rasmi?

Kwa mujibu wa Rais, Mh Kabudi atasimamia mikataba yote na makubaliano yote kati ya serikali na mashirika ya nje. Na hiyo ajira itakuwa nje ya mfumo rasmi wa ajira. Je, atasimamia mikataba kama nani ?. wakati kuna mwanasheria mkuu wa serikali?
Hizi zitakuwa kazi mpya nje ya katiba...........hatuwezi kujua ikiwa wakiondoka bungeni hizo kazi zitakoma au la?
 
Rejea hotuba ya Rais kaahidi tarehe 13 atakuwa na kikao na mawaziri wote na manaibu Mawaziri. Na akasema atakuwa na Mh Lukuvi na Mh Kabudi siku hiyo.
Kama kaajiriwa onyesha mkataba.. otherwise
Usipende kunena usiyajua dogo kisa bando lako la jero...
Pambaf
 
Back
Top Bottom