Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ni michuano gani hiyoUzuri ni timu ya Zanzibar sio Tanzania
Kwani Zanzibar ni Tanganyika?Siyo nchi mbili tofauti kweli?Anyway,nilisahau.Hata Vital'o nao walifungwa na ni timu ya nchi.Hawa wanaaibisha nchi, hatujamaliza aibu ya Olympics, half time washabugia nne.
Jana nimewambia huko hakuna mpiraaHalf time huko, wazenji washakula 4-0 dhid ya Pyramid huku Mayele akiwa kashaingia kambaniView attachment 3073569
Wanachezea wapi mkuuHalf time huko, wazenji washakula 4-0 dhid ya Pyramid huku Mayele akiwa kashaingia kambaniView attachment 3073569
Pyramid kubwa sana kwa JKU.Half time huko, wazenji washakula 4-0 dhid ya Pyramid huku Mayele akiwa kashaingia kambaniView attachment 3073569
NakaziaPyramid kubwa sana kwa JKU.
Tuseme tu ukweli in all aspects Pyramids kubwa.
🤣🤣Urojo
Pia uwekezaji wa soka Zanzibar bado sana.Nakazia