GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
A. Ya Kuoa / Kuolewa kwa Kuomba ( Kupitisha ) Michango kwa Watu na bado wakija Ukumbuni Bia za Kulazimisha kupewa, Soda za Kuvizia na Chakula cha Kukadiriwa na hapo hapo bado unatakiwa ukawawazawadie wana Ndoa Meza Kuu?
B. Ya Kuoa / Kuolewa kwa Wanandoa Kujichanga Wenyewe kwa kila Kitu huku nyie Wageni ( Marafiki ) mkialikwa Kuhudhuria ambapo Vinywaji vyote na Vyakula vilivyopo Mezani Ukumbuni ni halali yako na hata Kutoa Zawadi kwa Wanandoa ni Hiari yako.
Majibu yenu hapa yanaweza Kunishawishi nami GENTAMYCINE nianze sasa Kufikiria Kuoa nikifikisha Miaka 50 au 55 kwani kwa sasa Msamiati wa Kuoa bado haupo Ubongoni mwangu kwakuwa kwa Wanawake waliopo sijaona wa Kuwaoa ( Kuoa ) kutokana na 'Changamoto' zao tukuka.
B. Ya Kuoa / Kuolewa kwa Wanandoa Kujichanga Wenyewe kwa kila Kitu huku nyie Wageni ( Marafiki ) mkialikwa Kuhudhuria ambapo Vinywaji vyote na Vyakula vilivyopo Mezani Ukumbuni ni halali yako na hata Kutoa Zawadi kwa Wanandoa ni Hiari yako.
Majibu yenu hapa yanaweza Kunishawishi nami GENTAMYCINE nianze sasa Kufikiria Kuoa nikifikisha Miaka 50 au 55 kwani kwa sasa Msamiati wa Kuoa bado haupo Ubongoni mwangu kwakuwa kwa Wanawake waliopo sijaona wa Kuwaoa ( Kuoa ) kutokana na 'Changamoto' zao tukuka.