Ni hatua gan za kisheria nizifate Ili kumfungulia kesi huyu mteja?

Ni hatua gan za kisheria nizifate Ili kumfungulia kesi huyu mteja?

geee kay

Senior Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
112
Reaction score
63
Mm nafanya kazi kama nmb wakala, sasa tarehe 26 mwez December, nilijichanganya baada ya kumwekea mteja 500000 nikamwekea 5m, nikamgundua kwa kuwa ni mtu wa karibu akahaidi kurudisha, baadae akaturudishia nusu ya hyo hela baada ya hela kamili, akahaidi nyingine kumalizia lakini saiv anazungusha. Ni hatua gan za kisheria nizifate Ili kumfungulia kesi huyu mteja. Msaada wenu ni muhimu.
 
Duh pole sana inaonekana ulikuwa na salio kubwa ,ngoja wajuz wa haya mambo waje soon.
 
Kesi za namna hii hua ni complicated sanaa, sasa kwakua ni tsh milion 5, amka kesho asubuhi nenda kwenye ofisi za huo mtandao kama ni tigo pesa/ m pesa nk wakuprintie mtiririko wa siku ile uliyotuma pesa kwenda kwa uyo muhuni kwa bahati mbaya, wakisha kuprintia details za huo muamala, waambie wakugongee muhuri kabisaa, alaf nenda ktk mahakama ya mwanzo ambako unakoishi ukafungue kesi ya madai ya hizo tsh 5 mills ambazo ulizituma kimakosa kwa huyu, alaf kitu kingine jitengenezee mazingira mazuri ya kesi yako wewe mwenyewe kwa kuprint pia sms ambazo alionesha kukili kuzipokea hela, sms za miamalq ya alivyolipa nusu ya hio hela na hivi uhakikishe pia ilo kampuni la simu limekupigia muhuri, hivi ndio vielelezo utakavyotumia kama ushaidi ktk kesi yako hio.
 
Kesi za namna hii hua ni complicated sanaa, sasa kwakua ni tsh milion 5, amka kesho asubuhi nenda kwenye ofisi za huo mtandao kama ni tigo pesa/ m pesa nk wakuprintie mtiririko wa siku ile uliyotuma pesa kwenda kwa uyo muhuni kwa bahati mbaya, wakisha kuprintia details za huo muamala, waambie wakugongee muhuri kabisaa, alaf nenda ktk mahakama ya mwanzo ambako unakoishi ukafungue kesi ya madai ya hizo tsh 5 mills ambazo ulizituma kimakosa kwa huyu, alaf kitu kingine jitengenezee mazingira mazuri ya kesi yako wewe mwenyewe kwa kuprint pia sms ambazo alionesha kukili kuzipokea hela, sms za miamalq ya alivyolipa nusu ya hio hela na hivi uhakikishe pia ilo kampuni la simu limekupigia muhuri, hivi ndio vielelezo utakavyotumia kama ushaidi ktk kesi yako hio.
Umemaliza boss! Good advice
 
Back
Top Bottom