Ni hatua gani zakuchukua kabla yakufungua clinic ya tiba asili

Ni hatua gani zakuchukua kabla yakufungua clinic ya tiba asili

Dr Luu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2016
Posts
489
Reaction score
386
Amani ya Mungu iwenanyi wapendwa,

Nimewiwa kuandika makala hii nikitaka kujua taratibu na hatua/taratibu za kufuata kiserikali.

ili niweze kuwa na kliniki ya kutoa matibau ya mitishamba au store ya dawa za tiba asili.


Asanteni wapendwa.


aea96ea6dfdce73ca9b14730158027a7.jpg
 
Back
Top Bottom