Ni hatua gani zakuchukua kabla yakufungua clinic ya tiba asili

Dr Luu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2016
Posts
489
Reaction score
386
Amani ya Mungu iwenanyi wapendwa,

Nimewiwa kuandika makala hii nikitaka kujua taratibu na hatua/taratibu za kufuata kiserikali.

ili niweze kuwa na kliniki ya kutoa matibau ya mitishamba au store ya dawa za tiba asili.


Asanteni wapendwa.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…