Andrew Miyombo
New Member
- Sep 17, 2018
- 1
- 1
Mtumishi akitaka kuhamia wilaya yoyoye ndani ya mkoa husika anafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mchongo wa kuhama mkoa moja kwenda mwingine..mana ishu za kubadilisha na kwa wengine ngumu kufanikisha.1. Chonga na RAS Mpe cha juuu
2. Omba nafasi unakohamia, andika barua kwenda RAS kupitia kwa mkurugenzi wako kisha peleka kwa RAS