Ni hatua zipi zinazotakiwa kufanyika katika kufungua Ministry ama Kanisa

Ni hatua zipi zinazotakiwa kufanyika katika kufungua Ministry ama Kanisa

felakuti

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
659
Reaction score
1,207
Jambo


Nataka kufungua kanisa/ministry hapa nchini, ni taratibu zipi za kisheria natakiwa kufuata ama kufanya ili iwe registered kikamilifu na kuanza huduma mbalimbali?

Ma consultants, na Wanasheria naombeni michango yenu najua mnafanya kazi hizi za kufungua taasisi mbalimbali iwe kampuni n.k, na kama unaweza kufanya nachohitaji hatua kwa hatua basi usisite kunifahamisha.

Kwa pamoja tuseme kazi iendelee.
 
unataka kupunguza waumini kwa Mwamposa? jipange
 
Hamna yoyote anayeweza kunipa ABC humu kweli za kufungua Ministry
 
Unataka kwenda kuwaibia/kuwalaghai kondoo sio ! Kuna haja ya serikali kusajili makanisa pamoja na madhehebu, kumekuwa na mlipuko mkubwa sana wa makanisa kila mahali,,,, ! Watu wanauza maji, udongo , chumvi n.k ,,mnawadanganya sana wananchi hususani wanawake,,,, ni rahisi sana kurubunika
 
Unataka kwenda kuwaibia/kuwalaghai kondoo sio ! Kuna haja ya serikali kusajili makanisa pamoja na madhehebu, kumekuwa na mlipuko mkubwa sana wa makanisa kila mahali,,,, ! Watu wanauza maji, udongo , chumvi n.k ,,mnawadanganya sana wananchi hususani wanawake,,,, ni rahisi sana kurubunika
Nataka kufungua Ministry nieneze injili , hayo mengine siyajui
 
Back
Top Bottom