Nataka kufungua Ministry nieneze injili , hayo mengine siyajuiUnataka kwenda kuwaibia/kuwalaghai kondoo sio ! Kuna haja ya serikali kusajili makanisa pamoja na madhehebu, kumekuwa na mlipuko mkubwa sana wa makanisa kila mahali,,,, ! Watu wanauza maji, udongo , chumvi n.k ,,mnawadanganya sana wananchi hususani wanawake,,,, ni rahisi sana kurubunika