Pia napokea lakini sio mara nyingi kama nitoavyo.Ni kweli? So unamaanisha wewe huwa unatoa tu au??
tuwekee mstari uliponukuu ili tusome sura yote tuje na maana halisi
we uweunatoa tu usipende kupokea sawa mama..
Kutoa. . . . . . . . . . .Duh!!!!
hahahahaha kama nini na nini?kuna ambavyo havitoki wala kupokeleka. they can only be shared.