NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Nimegundua JF hutakiwi uwe mkweli ila siku zote unatakiwa kusema uwongo na kuwa mnafiki. Mimi kama mdada nimekuwa mkweli sana katika mambo ya kijamii ambayo yanamuhusisha kila mtu. ila shida ambayo nimekuwa nikiipata uki post a genuine thread ambayo inahusisha maisha ya watu basi inakuwa ni kejeli, matusi, na kushambuliwa with every TOM, DICK and JERRY.
I am tired and i better not contribute.
Madada - Samahanini sana na endeleeni na ndoa zenu ila mkae mkijua wanaume zenu wana wasaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
BYE - NOT ENOUGH AND WILL NEVER BE ENOUGH
Dada yangu hayo si mengi tu kwenye ndoa? kama bado hujaolewa subiri time will come sweet.
There is no hidden agenda here, I have just decided to give you guys black/white. And I am sure the message is SENT, DELIVERED, RECEIVED AND CLEARLY UNDERSTOOD.
chambia
Mungu yupo, shangingi moja linalopeleka mke wa mkubwa sokoni ni usd120,000.
Nina elimu ya certificate katika mambo ya Hoteli hivyo uwelewa wangu ni mdogo katika maswala ya uchumi. Nasikiaga mara kwa mara viongozi wakiongea kwenye hotuba zao kwamba uchumi umekuwa/umeshuka labda kwa asilimia kadha wa kadha.
Mara ya mwisho nilimsikia Mh Raisi akiongea kwenye hotuba yake ya salamu za mwaka mpya kwamba uchumi wetu umekua kwa 8% kama sikosei.
Sasa mimi sijui ni vigezo gani wanatumia kusema uchumi umekua au umeshuka. Kwa uwelewa wangu nisikia uchumi umekua mara moja naanza kufikiria maisha yanayo nizunguka hivyo naangalia unga sasa bei gani, sukari, petrol, mkate, nauli, ada za shule na kadhalika.
Je vigezo nitumiavyo mimi ni sahihi au si sahihi? Naombeni nifahamu itanisaidia.
Yeye amemshirikisha mumewe wa nini? Yeye angetoa tu tunda kisiri then achukue kazi
Jamani madada wenzangu tuwe tu wakweli, ukishaliwa mara moja na mtu kama hamjagombana na mkakutana katika anga nzuri lazima ulambwe.
There are three factors ambazo zinaweza fanya mwanamke aliwe regardless of her status.
1. Moddy - Do you feel doing so?
2. Time - Does the time allow? That you can do it bila mtu wa tatu kuona?
3. Enviroment - Are the enviroment cundusive?
Jamani kaka ni mambo ya kawaida hayo. Dada kama huyo ni kama mimi bila ya bao tatu hapa hujaondoka!! Wewe kwanini unataka kuleta utani na
mashine? Piga mpaka iwake moto kama huwezi achia wengine.
Sasa mmempigia mumewe ya nini? mngeendelea kula uroda tu. Mi ningefurahi?
Umepima VVU au umeanza tu kungonoka
David Mattaka is no longer the MD, JK alimpeleka NIC aongeze kamati ya ku restructure shirika.
Nakumbuka alivyoingia ATCL kikubwa alichofanya ni kwenda DUBAI na kununua mashangingi nane ajili ya wakurugenzi.
I know JK appointed some one to act bud I dont remeber name of that person.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Mibaba bana inabore sana, mnakaa wiki mbili hamjala ngono siku likinywa vibia vyake uko linakuja linapanda dakika moja kwisha na lina anza kukoroma. Lakini linajifanya mtu wa madeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeemu huko nje. Ni aibu tu mnapeleka huko nje unafuata visichana vimezoea dozi kubwa wewe unaenda kupiga kabao kako kamoja na kunza kuhema na kujamba jamba ovyo.
Ni hela tu wanawachukulia hakuna dozi yoyote unayotoa, kama wewe kidume si uonyeshe udume wako nyumbani kwanza? Saa nyingine si kwamba tunaona wivu unatembea nje ila ni jinsi gani unaenda kutia aibu huko nje na vibao vyako visivyo na TIJA.
Nimegundua JF hutakiwi uwe mkweli ila siku zote unatakiwa kusema uwongo na kuwa mnafiki. Mimi kama mdada nimekuwa mkweli sana katika mambo ya kijamii ambayo yanamuhusisha kila mtu. ila shida ambayo nimekuwa nikiipata uki post a genuine thread ambayo inahusisha maisha ya watu basi inakuwa ni kejeli, matusi, na kushambuliwa with every TOM, DICK and JERRY.
I am tired and i better not contribute.
Madada - Samahanini sana na endeleeni na ndoa zenu ila mkae mkijua wanaume zenu wana wasaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
BYE - NOT ENOUGH AND WILL NEVER BE ENOUGH
Pole my dia we wafumbie macho tu lol