usichoke my dear...uvumilivu ndio muhimu binaadam lazma tupishane kimawazo sasa hakuna sababu ya kuchukia takeit n eassy.. everry thing gona be allright ahead...bora uwe mkimya na uvumilie lakini usituwache...tushakuzoea..:A S 13::A S 13:
Habari lako wewe binti?
salaam aleikhum bibie!!!!!!!!!
Hapa magriit thinkaz mnadiskasi nini?:rain::rain:
Wknd ilivyokuwa babuuuu
Hapa magriit thinkaz mnadiskasi nini?:rain::rain:
Hebu twende kwenye jukwaa lako kule.....weekend haikuwa njema kwangu.
Uko ok my love?
hatudiscuss kuna mtu ataka apunguze namba hapa sasa twajaribu kumzuia lakini naona kama keshaondoka vile??
Nilham hujambo mpenzi?
hebu nipe maendeleo.....nilipiga magoti kwa ajili yako ujue?
BTW kama hana nauli, stendi anaenda kufanya nini?....Si anaahirisha safari mpaka apate nauli?
heheeheheh halafu naskia wakuita babu kwani unamiaka mingapi wewe?? mie alhamdulillah abuy mzima wa afya...vipi na we hali zako lakin:decision:??
Naona msimamo wako ni haba unateteleka kirahisi namna hii ,
Unaumizwa na Keyboard
All the best "usirudi kivingine dear sissy"
Hujambo mpenzi?
Unajua nnavokumisi lakini?