Ni heri nitoke jf

kama unanimiss mbona hunitafuti wajua hata chumba cha mjukuu wako kiko wapi lakini
Asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo wahenga walisema:rain:

Kwamba unabisha sijakumisi au?
 
Bahati mbaya yako dada mimi nasaidiwa sana na jf. usiwemwepesi wa hasira watu tuna view tofauti hata kusolve problems tunatofautiana.. na sio kila uambiwalo humu jf ulibebe kama lilivyo, that are great thinkers behave my dear!
 
Tatizo watu hawataki uhalisia. Mwenye kujisifu kwa lazima apigwe bao kila siku pengine sio kweli.
Wengine wanadai ni vidume wanapagawisha wadada kwenye 6x6 inaweza isiwe.

Tatizo la story za kufikirika ni kwamba huwezi kukumbuka ulosema juzi vinginevyo uwe professional liar, bahati mbaya Not Enough anaangukia kundi hili.

Sitoshangaa kama waagao kwa mbwembwe hurudi kwa majina mengine.
Kwa vile tunajiunga kwa hiari, ni hiari yake kujitoa pia!
 

Kafie mbali huko! Ulidhani hapa kuna ma-toddler wenzako! S***NZi!
 

Ili kukamilisha ndoto yako iwe kweli mtumie msg Max au Invisibo wakupige BAN ya MILELE
Tulikupenda sana, lakin naona Muumba kakupenda zaidi
Tutakukumbuka daima
Pumziko la Milele
😛oa😛oa😛oa😛oa
 
Babu naona anasalimia kila binti humu ndani, wengine siju hawaoni???:A S 13:
 
Pole dia nakushauri usiondoke ila gangamala mpaka kieleweke, keyboard isikupe msongo wa mawazo JF inauhuru wa hali ya juu unaweza kusema chochote maadam hatujuani humu ndani, kukata tamaa ni dhambi kubwa sana.
 
Usiondoke......we unatishiwa na maneno ya watu usiowajua.....mi nakushauri tu uwe consistency na thread zako....hueleweki,but hakuna mtu anakuchukia hapa......stay with us Not Enough!!!:rain:
 
welcome back when u have had enough...:decision:
 
Nenda mama nenda pumzika kwa amani. Hatuhitaji watu wanamna yako hapa JF.
 
Ulizidi kuwa muongo na kutuchanganya..

We nenda tu kabadili ID urudi mama eeehhh pole

Halafu wewe inaonyesha si mwanamke halisi unatishwa na keyboard??? Kweli umetuabisha watu wenye misimamo kama sie

Yaani watu huwajui halafu unawakasirikia unamkomoa nani sasa kwa akili zako unavyofikiria?? UNACHEZA WEWE
 
Sijui kwanini mnazungumza na mtu ambaye keshatimka. Msijali atarudi kwa jina lingine, vinginevyo maisha yanaendelea hapa JF. Kwani Malaria Sugu yuko wapi?
RIP NE ulitufanywa wenzio kichwa cha mwendawazimu
 
hivi ndivyo ma-great tinkers walivyo khe lhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee angalia hapa chini baadhi ya michango yako.


































kila lakheri.
michango yake mitamu kweli....inaonyesha alikuwa akitaka midume ya mbegu hapa jf,lakini haijitokezi...wote wameogopa vitisho vyake.
 

Ivumayo ................
Ngoma ikilia sana ......................
Mbio za sakafuni .....................
Paka Mapepe ....................
Kelele za chura ......................
Ukisusa ......................
Mkataa pema ....................
Usitukane mamba ......................
Mtaka yote kwa pupa ....................


Wasalimie Kigoma... Wambie TULISHAOA
 

Umenifanya nicheke kwa nguvu aisee dahhhh wewe kiboko
 
Not Enough, usikate tamaa kiurahisi hivyo lol!! Unapoona ugumu ujue ndio wepesi unakoanzia, watakuelewa tu!!
 
hapo red: tafuta mwanaume kwa utulivu sio kwa kuwa umeachika urikie yeyote hata zimwi,mwanaume anayemwogopa mungu=mcha mungu sio hao wa madisco watakukomesha kwa usumbufu.Ukishampata ujiwekee mazingira yasiyomtia wasiwasi.
 

Another crap gone....
 
nenda bt naamini utarudi tena......wape shavu wote huko uendako.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…