Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
yanini malumbano, yanini manenooo.. by 20%
:A S 103:byeeeeeeeeeeee
Kama jf ndio hiiiiii....
Naona bora nikimbie.......
karibu gongo la mboto! Hali ni salama sasa hali ya hatari imekwisha
Karibu Gongo la Mboto! Hali ni salama sasa hali ya hatari imekwisha
Karibu Gongo la Mboto! Hali ni salama sasa hali ya hatari imekwisha
Unaonesha uchanga wa mawazo katika kukabiliana na changamoto,sasa kama JF tu unaikimbia ambapo ni wachangiaji usiowajua wala kuonana nao,je huko unakoishi ukikumbana na criticisms kama hizi nako utafanyaje?Ni vema ukabaki tu na uendelee kutoa mchango wako na kujifunza toka kwa members wengine na kitu kama hakijakufurahisha unakipotezea tu na maisha yanaendelea..
Kwa heshima na taadhima napenda kuomba kutumia kipande hiki kama sahihi yangu. Nimeshakutana na mengi humu ila niko tuWewe mdada umejiunga Desemba 2010 na kumwanga manyanga Februari 2011, naona hata ukiolewa ndo yako haitadumu; na kama umeolewa basi lisemwalo laja. JF kipimo cha uvumilivu.
Kama jf ndio hiiiiii....
Naona bora nikimbie.......
husnii acha hizo, najua sa hiv unakula mbivu humu jeief.
ivi m2 akitoka jf ataenda wap??
nakula mbivu zilizooza.
Nataka nikampe kampan NE.
Dah, sijui ataenda wapi. Labda kuleeeee.
Kwa heshima na taadhima napenda kuomba kutumia kipande hiki kama sahihi yangu. Nimeshakutana na mengi humu ila niko tu