Wana bodi kwanza salamu.
Baada ya hapo naomba kuuliza ni hospitali gani nzuri au Daktari bingwa wa maumivu makali ya mgongo yanayopelekea kuishiwa mate kabisa na koo kubana kwa hapa Dar Es Salaam ? Msaada tafadhali
Wana bodi kwanza salamu.
Baada ya hapo naomba kuuliza ni hospitali gani nzuri au Daktari bingwa wa maumivu makali ya mgongo yanayopelekea kuishiwa mate kabisa na koo kubana kwa hapa Dar Es Salaam ? Msaada tafadhali
Wana bodi kwanza salamu.
Baada ya hapo naomba kuuliza ni hospitali gani nzuri au Daktari bingwa wa maumivu makali ya mgongo yanayopelekea kuishiwa mate kabisa na koo kubana kwa hapa Dar Es Salaam ? Msaada tafadhali