Habari wana Jf..naomba kufahamishwa ni hospitali gani nyingine naweza kupata urologist ukiacha Prof.Yongolo wa Tumaini hospital ambae nimejulishwa kuwa amesafiri na atakuwepo tena kuanzia tarehe 5 February 2018.Tatizo langu halitaweza kusubiri mpaka muda huo na ndio maana nimekuja hapa nipate msaada kujulishwa hospitali zingine ambazo naweza kupata daktari huyo.Nikipata na mawasiliano yake au ya hospitali husika nitashukuru zaidi.
Natanguliza shukrani.