Ni huduma gani ya kwanza mtu anastahili kupewa endapo kang'atwa na nyoka maeneo hatarishi..?

Ni huduma gani ya kwanza mtu anastahili kupewa endapo kang'atwa na nyoka maeneo hatarishi..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
kumezoeleka mtu aking'atwa na nyoka mguuni,mkononi mtu anafungwa kamba,nguo ili kuzuia sumu kutosambaa.
sasa je,nini cha kufanya endapo mtu aking'atwa maeneo hatarishi kama kichwani,ubavuni n.k
doctors ufafanuzi hapa...
 
Cha muhimu ni kumuwaisha hsptl na kujua aina ya nyoka aliyemuuma ili akifika hsptl wajua ni aina gani ya anti-vernom ya kumpa.
 
kumezoeleka mtu aking'atwa na nyoka mguuni,mkononi mtu anafungwa kamba,nguo ili kuzuia sumu kutosambaa.
sasa je,nini cha kufanya endapo mtu aking'atwa maeneo hatarishi kama kichwani,ubavuni n.k
doctors ufafanuzi hapa...
Nasikia kitunguu swaumu kinasaidia kunyonya sum ya nyoka
 
bado hakujapatikana jibu la uhakika
 
Back
Top Bottom