Ni ipi biashara nzuri kwa Mkoa wa Geita?

Ni ipi biashara nzuri kwa Mkoa wa Geita?

suzy daniel

Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
57
Reaction score
10
habar wakuu, kwa wanaoufaham vizur mkoa wa geita naomben msaada kuhusu hili,nina lak 5, pesa hiyo nahitaj kuifanyia biashara. sina uzoef wa biashara wara idea kuhusu nifanye biashara gani yenye soko zur kwa mkoa wa geita. nawaombeni msaada wenu.
 
Hiyo hela ni ndogo labda usichague biashara. Fanya biashara yeyote tu mf .nunua mkaa kasamwa alafu alete ukauze hapa Geita mjini. Kwa mtaji wako azia gunia 25 .hakika utapata faida nzuri tu.
 
Back
Top Bottom