Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
awese haya mafuta kama ya kula?ngozi inang'aa kweli?mie kila kitu najaribu sasa hivi nafanya treatment ya miguu iwe milaini
novage ya nigeria?Tafuta seti ya Novage ni nzuri sana na hutojuta. Ila inagharama kubwa kidogo
sasa mdada utapakaje mafuta ya buku kumi mkuu? halafu unataka upendeze? kweli?yaani bei ikishakuaga rahisi mtu haamini eti.
Shahawaaaaaaaaaaaaaaaaa!Naomba mnijuze ni aina gani ya cream ni nzuri, kwa maana ya kutokuchubua pia yenye sifa za TFDA, inayomfanya mtu kuwa na very clear skin bila chunusi wala harara huku ikimaintain natural color.
Asanteni.
Heee kuna siku niliuliza bei kwa mtu akaniambia Laki moja hata nyuma sikugeuka, kisa yanatoka ulaya ...kumbe ndio bei yake?Queen elizabeth ni sh elfu 23-25 inategemea na duka
Ndio bei yake hiyo yakizidi sana elfu 27.Heee kuna siku niliuliza bei kwa mtu akaniambia Laki moja hata nyuma sikugeuka, kisa yanatoka ulaya ...kumbe ndio bei yake?
Sio mbaya lakini urembo gharama. Kuna watu wanapaka mafuta ya laki sita.
Samahan unasememea perfect white aukuna mafuta yanaitwa perfect ni mazuri ila unang'aa kidogo na kangozi kanakua katraaam yani hauwi mweupe ila unakua black cofee with milk sijui unanielewa? ila kwa usoft??? perfect ilimalizaga yote
Je na kaharufu kake kamekaa ki-fungo fungo..?!Ila mtu unakuwa mweusi kama fungo
Inamafuta mengi sana
Miss natafuta vipi mkuu upo? Nimekukosa sana aseepole sana asante kwa ushauri nitafata mwenyewe ila ile mikorogo yao sinunui
nenda jackies kinondoni sabuni tu ya lemon laki mbiliHeee kuna siku niliuliza bei kwa mtu akaniambia Laki moja hata nyuma sikugeuka, kisa yanatoka ulaya ...kumbe ndio bei yake?
Sio mbaya lakini urembo gharama. Kuna watu wanapaka mafuta ya laki sita.
Kupendezesha mwili wako hadi uangaliwe makubwaaaashughulipevu kisa miguu ilainike tu, kwan wanaangaliaga miguu saiv
Duh.nenda jackies kinondoni sabuni tu ya lemon laki mbili
sijui vitu vyao vinatoka wapi yaani?Duh.
Ni ya Oriflame Sweden ni hatari haichubui hata kidogonovage ya nigeria?
tehe tehe teheKwa kung'arisha ngozi jipake mafuta ya mawese.... Unaweza kuchanganyia kwenye lotion.
Faida : ngozi inalainika na kung'aa
Changamoto : yanachafua nguo (ule unjano) na yana kaharufu ka mawese (Sio nzuri kiivo)