Ni ipi dawa nzuri ya kutuliza maumivu makali ya jino. (gego) kabla ya kung'oa?

Ni ipi dawa nzuri ya kutuliza maumivu makali ya jino. (gego) kabla ya kung'oa?

Jumakidogo

R I P
Joined
Jul 16, 2009
Posts
1,851
Reaction score
420
Wadau, ni ipi inaweza kuwa dawa nzuri ya kutuliza maumivu makali ya jino kabla ya kuling'oa? Waswahili wanasema dawa ya jino ni kulitoa. Ikiwa unatafuta nafasi nzuri ya kulitoa, dawa ipi inafaa kutuliza maumivu yake?
 
Tumia mcharaka na kama huujui uliza wenyeji wa pwani wanapenda kuutumia kujengea maana ni mgumu na hauliwi na mchwa haraka

Chukua kiini cha mti (kiini cha ndani ya mti) huwa cheusi kichemshe mpaka maje yawe meusi /kwa muda dakika 20-30 na tumia kupigia mswaki asubuhi najion kwa muda wa wiki moja
Meno yatapona na hutakuwa na tatizo tena la meno na hata ukifikia umri wa kung'oka meno yote ( miaka 120-130) kama ukijaliwa kufika yatatoka bila kuuma
 
Back
Top Bottom