Mie naunga mkono maana/fasili hizo hapo juu walizofafanua ndugu, lakini pia neno lenye ya karibu kwa SOCIAL- Katika kiswahili ni jumuia./jumuishi/jambo lishirikishalo watu kadha wa kadha.
Hivyo Socialiaz/sation- na weza kusema ni UJUMU/ISHO/SHAJI WATU/KONGAMANO/JUMUISHI/USHIRIKA/UJAMAA... Na Mengineyo....
''Naendelea Kufikiri juu ya Fasili Kufikiri Fasili''