Ni ipi mifumo minne inayoisaidia injini kufanya kazi?

Ni ipi mifumo minne inayoisaidia injini kufanya kazi?

Sijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna

[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji


kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna

1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.

2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.

3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.

4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.
images%20(2).jpg
 
Sijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna

[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji


kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna

1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.

2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.

3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.

4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.View attachment 2786510
Kiongoz nakushukulu sanaaa asanteee

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Sijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna

[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji


kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna

1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.

2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.

3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.

4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.View attachment 2786510
1. Mafuta 2. Ulainishaji 3. Upoozaji 4. Uchomaji..... umeme sio sehemu ya mifumo ndio maana tractor au zile mashine za kusaga nafaka hazitegemei umeme kufanya kazi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
1. Mafuta 2. Ulainishaji 3. Upoozaji 4. Uchomaji..... umeme sio sehemu ya mifumo ndio maana tractor au zile mashine za kusaga nafaka hazitegemei umeme kufanya kazi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Amezungumzia Kwa ujumla

Kwenye mfumo wa muwako (ignition system)

Kuna Vitu kama Hivi

Starter

Alternatol

Na part zingine zilizopo ndan ya Huu mfumo wa umeme

So now days gar Nyingi zimecontain umeme mzee



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom