Sijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna
[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji
kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna
1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.
2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.
3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.
4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.
View attachment 2786510