kush mafichoni
Member
- Aug 6, 2023
- 31
- 20
Kiongoz nakushukulu sanaaa asanteeeSijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna
[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji
kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna
1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.
2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.
3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.
4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.View attachment 2786510
Sahihi
1. Mafuta 2. Ulainishaji 3. Upoozaji 4. Uchomaji..... umeme sio sehemu ya mifumo ndio maana tractor au zile mashine za kusaga nafaka hazitegemei umeme kufanya kaziSijajua kama nitakuwa nimelielewa swali lako, lakini kuna
[emoji419]Mfumo wa mafuta
[emoji419]Mfumo wa umeme
[emoji419]Mfumo wa hewa
[emoji419]Mfumo wa upoozaji
kama unaongelea Strokes za 4 stroke engine kuna
1. Intake stroke - Hapa intake valve inafunguka, piston inashuka chini na mchanganyiko wa mafuta na hewa unaingia kwenye combustion chamber.
2. Compresion stroke - Hapa valves zote zinakuwa zimefunga na piston inapanda juu na kuleta mkandamizo tayari kwa spark plug kuchoma.
3. Power/Combustion stroke - Hapa spark plug inatoa moto na Mchanganyiko wa hewa na mafuta ambao umegandamizwa unachomwa na kuzalisha nguvu kubwa inayoisukuma piston chini.
4. Exhaust stroke - Baada ya piston kusukumwa chini kutokana na mlipuko sasa inapanda juu na exhaust valve inafunguka kuruhusu moshi kusukumwa nje.View attachment 2786510
Amezungumzia Kwa ujumla1. Mafuta 2. Ulainishaji 3. Upoozaji 4. Uchomaji..... umeme sio sehemu ya mifumo ndio maana tractor au zile mashine za kusaga nafaka hazitegemei umeme kufanya kazi
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
huo uchomaji utafanyika bila umeme kaka?1. Mafuta 2. Ulainishaji 3. Upoozaji 4. Uchomaji..... umeme sio sehemu ya mifumo ndio maana tractor au zile mashine za kusaga nafaka hazitegemei umeme kufanya kazi
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app