Ni ipi miti bora ya kilimo cha mbao?

Upo wapi? Kwa mkoani iringa wilaya ya mufindi. Miti aina ya mlingoti ndio bora zaidi. Kwanza inakua haraka. Pili mbao zake zinatumika katika uselemala. Ngoja tusubiri na wadau wengine wanasemaje kuhusu hilo

Sent using samsung galaxy grand prime pro
Hivi huko mufindi mashamba yapo je bei gani kwa eka?
 
acha kupotosha watuuu, paina miaka 6 na kuendelea unavuna!! tena mbao zilizokomaa kabsaa.
 

Hizi data ametoa TWAWEZA ni sahihi kabisa ila pia inategemea hali ya udongo
Na Hali ya hewa
 
Je, eucalyptus inakubali kupandwa mkoa wa Kigoma? Naona ipo mingi na nilikua na mpango wa kupanda. Na je, soko lake likoje?
 
Hivi huko mufindi mashamba yapo je bei gani kwa eka?

Hivyo inarange kutoka 100,000 hadi 500,000 kwa shamba bila Miti idadi ya hekali zinazingatiwa zaidi.
Pia bei inategemea na vitu vingi kama ubora wa ardhi, umbali toka barabarani na miundombinu ya ardhi yaani kama ni mlima mkali au tambalale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…