kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Hivi huko mufindi mashamba yapo je bei gani kwa eka?Upo wapi? Kwa mkoani iringa wilaya ya mufindi. Miti aina ya mlingoti ndio bora zaidi. Kwanza inakua haraka. Pili mbao zake zinatumika katika uselemala. Ngoja tusubiri na wadau wengine wanasemaje kuhusu hilo
Sent using samsung galaxy grand prime pro
Inategemeana na eneo pia mtu wanauza shamba akiwa na shida au kaamua. Lakin eka moja ina range kuanzia laki 3 mpka 4hivi huko mufindi mashamba yapo je bei gani kwa eka
Maeneo gani naweza kupata me nafuta shamba mkuu.Inategemeana na eneo pia mtu wanauza shamba akiwa na shida au kaamua. Lakin eka moja ina range kuanzia laki 3 mpka 4
Kwa sasa sipo mufindi. Lakin ukipata connection mufindi maeneo ya ruhunga, mdaburo etc kule unaweza pata shamba kwa bei ya kawaida.maeneo gani naweza kupata me nafuta shamba mkuu
ahsanteKwa sasa sipo mufindi. Lakin ukipata connection mufindi maeneo ya ruhunga, mdaburo etc kule unaweza pata shamba kwa bei ya kawaida
Hakuna kilimo kibaya kama kulima kwa simu. Uko Dar una shamba Njombe na unategemea ufanikiwe.Kuna jamaa yupo Njombe anauza shamba heka 200 @80000 mi nmepanda heka 20 tu miti Aina ya pynes
Kweli kabisa mkuu.Hakuna kilimo kibaya kama kulima kwa simu. Uko Dar una shamba Njombe na unategemea ufanikiwe?
acha kupotosha watuuu, paina miaka 6 na kuendelea unavuna!! tena mbao zilizokomaa kabsaa.Naomba nitoe kamchango kadogo, kuna kitu kinaitwa rotation time kwa kila mti, rotation time ni kipindi ambacho mti hufikia maturity kwa ajili ya kutoa mbao.
1. Eucalyptus ni kama miaka 23
2. Pines ( zilizo nyingi) ni miaka 23 pia
3. Cyprus ni 26
4. Mtiki ni 26 hivi
Naweza kuwa nimekosea kidogo, ila rotation time iko over 20yrs kwa miti mingi. Chini ya hapo utapata kwa kutumia GMO au improved seeds.
Data za miaka 7 na mitiki miaka 15 umepata wapi?, mimi nimezitoa TTSA. Bila kutumia improved seeds/GMO huvuni miti ya mbao kwa ubora unaotakiwa chini ya miaka 20. Mitiki na Cyprus inakula miaka ya kutosha. Labda acrocarpus unaweza vuna baada ya miaka kumi.
Ila kama unavuna kwa kuibaka miti sawa, hata miaka miwili inawezekana.
Hivi huko mufindi mashamba yapo je bei gani kwa eka?
Kwa sasa unawezapata kwenye wilaya za Kilolo na Njombe.Maeneo gani naweza kupata me nafuta shamba mkuu.
Mimi nashuhudi kutoka field (Shambani). Pines ni miaka 7-8 imekomaa vizuri kwa kuvunwa. Hiyo ya miaka 15 sijawah kukutana nayo.
Hiyo miaka umetia chumvi kwa sana,pine hiyo miaka 7 watu wanavuna na mitiki ni miaka 15 sio 26 ingekua hakuna mtu anapanda hyo miti.
Kwa eneo lipi hapa tz?Acha kupotosha watuuu, paina miaka 6 na kuendelea unavuna. Tena mbao zilizokomaa kabsaa
Mashamba yapo luhunga mengi sanaa ni wew tyu
Ntafute tumakize kaziiMku Hbr.
Hii Luhunga iko Mkoa gani.
Asante Mku