Tanganyika watu waliokuwepo asilia na mpaka sasa wapo niwahadzabe.
#MaendeleoHayanaChama
Neno asili naona umelibandika mwenyewe halikutoka kwenye chapisho langu ? By the way sikuwa na lengo la kusema waomani asili yao Zanzibar, nilichokusudia ni kuwa kuna udugu wa damu baina ya Zanzibar na Oman kwa maana kuna familia zina ndugu zao pande zote mbili.Sio kweli, usiwadanganye watu. Oman haina undugu wala asili ya Zanzibar. Walikuwa watawala tu walioitawala Unguja na Pemba ( Wakoloni ) kama watawala wengine. Watu wa Unguja na Pemba walienda Oman kufanya kazi wakaloea wakabaki huko na sasa wanajiita Waarabu wa Oman kumbe ni Waunguja na wa Wapemba na hawana asili za Ki Arabu Kabisa!
Asili ya wa Unguja na wa Pemba ni " MIJIKENDA" na SIO WAARABU! acheni kujikweza kutafuta naswaba nyiingi.....
Na hao wanaojiita wa Oman wanawasaidia ndugu zao sio wa Oman ila ni hao Waunguja na Wapemba waliolowea / walioshi huko hao ndio ndugu zao waliowaacha huko visiwani.
Kwa taarifa zenu tu Waarabu Wenyewe Oman huwaita "ZINJIBARI" wanawajua hao ni Wazanzibari kutoka Zanzibar na sio Waarabu.
Acheni kuwadanganya watu!
Mkataa kwao..............
Sent from my P00C using JamiiForums mobile app
Unaijua asili ya marhum Sultan Qaboos bin Said?Sio kweli, usiwadanganye watu. Oman haina undugu wala asili ya Zanzibar. Walikuwa watawala tu walioitawala Unguja na Pemba ( Wakoloni ) kama watawala wengine. Watu wa Unguja na Pemba walienda Oman kufanya kazi wakaloea wakabaki huko na sasa wanajiita Waarabu wa Oman kumbe ni Waunguja na wa Wapemba na hawana asili za Ki Arabu Kabisa!
Asili ya wa Unguja na wa Pemba ni " MIJIKENDA" na SIO WAARABU! acheni kujikweza kutafuta naswaba nyiingi.....
Na hao wanaojiita wa Oman wanawasaidia ndugu zao sio wa Oman ila ni hao Waunguja na Wapemba waliolowea / walioshi huko hao ndio ndugu zao waliowaacha huko visiwani.
Kwa taarifa zenu tu Waarabu Wenyewe Oman huwaita "ZINJIBARI" wanawajua hao ni Wazanzibari kutoka Zanzibar na sio Waarabu.
Acheni kuwadanganya watu!
Mkataa kwao..............
Sent from my P00C using JamiiForums mobile app
Labda anawakumbuka Babu zake huko.Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman.
Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman.
Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo.
Kwa anaejua japo hata kidogo ningependa kujua nini hasa kipo nyuma ya pazia.
historia inasema znz iliatawaliwa na oman, kuna wazanzibari wengu wana ndugu oman yawezekana ni sababu