Ni ipi tofaut ya chachu na ngwadu?

Ni ipi tofaut ya chachu na ngwadu?

Kipilipili

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2010
Posts
2,272
Reaction score
1,897
Napata uvulivuli juu ya dhana hizi"chachu" na "ngwadu",tofauti yake ni ipi?na je ni sahihi kusema kuwa chachu ni ngwadu ila si kila ngwadu ni chachu?mfano,maziwa yanapochachuka huwa ngwadu lakini ndimu ni gwadu japo haijachachuka.
 
gwadu au ngwadu?mbona sijaelewa

ok mie nielewavyo-gwadu ni kitu kama radha ya ndimu ivi/passion fruit/chungwa vs chachu ni uchungu
 
Ngwadu ndivyo sahihi.na ngwadu haiwi chungu
 
basi sijui kiswahili sasa!

ngwandu=
 
gwadu au ngwadu?mbona sijaelewa



ngwadu ni kitu kingne na GWADU NI KITU KINGNE

bak 2topic

chachu inatokana na uahlisia wa tunda/kitu mara eg lemon

gwadu ni ukakasi unaotokana na kutokomaa kwa kitu au kuharibika kwa kitu

mhh sjui ndo ivo..ngoja nkatafute samak na ndimu
then mtind na sukari......!!!!!!!
ok mie nielewavyo-gwadu ni kitu kama radha ya ndimu ivi/passion fruit/chungwa vs chachu ni uchungu
 
ngwadu ni kitu kingne na GWADU NI KITU KINGNE

bak 2topic

chachu inatokana na uahlisia wa tunda/kitu mara eg lemon

gwadu ni ukakasi unaotokana na kutokomaa kwa kitu au kuharibika kwa kitu

mhh sjui ndo ivo..ngoja nkatafute samak na ndimu
then mtind na sukari......!!!!!!!
ok mie nielewavyo-gwadu ni kitu kama radha ya ndimu ivi/passion fruit/chungwa vs chachu ni uchungu


hahahaaaaa halafu wewe?!!
bora ata mimi nimeweza khaaa
 
Wadau hz dhana ni tete kweli.ni kweli kuna wakati ngwadu huwa na ukakasi fulani hv mithili ya tunda kama tufaha{apple} linapokuwa bichi.lakini sidhani km ni sahihi moja kwa moja kusema ngwadu ni ukakasi .mh!mambo ya lugha hayo.
 
Wadau hz dhana ni tete kweli.ni kweli kuna wakati ngwadu huwa na ukakasi fulani hv mithili ya tunda kama tufaha{apple} linapokuwa bichi.lakini sidhani km ni sahihi moja kwa moja kusema ngwadu ni ukakasi .mh!mambo ya lugha hayo.
 
Nadhani maneno hayo hayana tofauti, ni tofauti ya lahaja tu. Angalia mfano mwingine wa tofauti ktk lahaja; maneno haya yote yanamaanisha kitu kimoja: puto, futuza, pulizo.
 
Back
Top Bottom