Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,897
gwadu au ngwadu?mbona sijaelewa
ngwadu ni kitu kingne na GWADU NI KITU KINGNE
bak 2topic
chachu inatokana na uahlisia wa tunda/kitu mara eg lemon
gwadu ni ukakasi unaotokana na kutokomaa kwa kitu au kuharibika kwa kitu
mhh sjui ndo ivo..ngoja nkatafute samak na ndimu
then mtind na sukari......!!!!!!!
ok mie nielewavyo-gwadu ni kitu kama radha ya ndimu ivi/passion fruit/chungwa vs chachu ni uchungu