Ni ipi tofauti ya Swahiba na Rafiki?

Ni ipi tofauti ya Swahiba na Rafiki?

Zamiluni Zamiluni

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
13,997
Reaction score
15,112
WanaJamvi na memba nijuzeni tafsiri au maana kati ya Swahiba na Rafiki?

Tiririkeni.
 
Swahiba ni mshikaji,MTU wako mlieshibana sana kuzidi undugu,rafiki ni MTU uliyezoeana nae na mazoea yenye mipaka yawezakuwa jamaa,Dada,baba,kaka,mama,mdogo,make,mume,mtoto,jirani,classmate,n.k
 
Swahiba ni mshikaji,MTU wako mlieshibana sana kuzidi undugu,rafiki ni MTU uliyezoeana nae na mazoea yenye mipaka yawezakuwa jamaa,Dada,baba,kaka,mama,mdogo,make,mume,mtoto,jirani,classmate,n.k
Samahani hujashibisha jibu!!

Kwanza nipe maneno haya kwa laugha asili...!!
 
Swahiba - Ni mtu wako unayejuana naye. Anaweza kuwa jirani au mfanyabiashara mwenzio.
Rafiki- Ni mtu wako wa karibu mnayesaidiana kwenye shida na Raha.
 
Back
Top Bottom