holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Wakuu,
Licha ya kuwa asilimia kubwa ya watu wameacha tamaduni na mila zao za asili kwa utetezi kwamba zimepitwa na wakati.
Lakini kuna msemo wa wahenga unasema mtu haachi asili yake,hata wewe kuna jambo bado unalidumisha hata kama maisha yako yametawaliwa na usasa na mambo leo.
Kwa upande wangu siwezi kuacha kufanya matambiko, nikipatwa na shida yeyote,lazima niende kwenye makaburi ya ukoo wangu,nikapalilie majani,niongee shida zangu, shida zikiisha nitaamini nimesaidiwa na mizimu ya wahenga wangu,japo mimi ni muumini wa kiongozi wa dini fulani (staitaja).
Wewe unafkiri ni kautamaduni gani hutaki kukaacha?
Tiririka.
Licha ya kuwa asilimia kubwa ya watu wameacha tamaduni na mila zao za asili kwa utetezi kwamba zimepitwa na wakati.
Lakini kuna msemo wa wahenga unasema mtu haachi asili yake,hata wewe kuna jambo bado unalidumisha hata kama maisha yako yametawaliwa na usasa na mambo leo.
Kwa upande wangu siwezi kuacha kufanya matambiko, nikipatwa na shida yeyote,lazima niende kwenye makaburi ya ukoo wangu,nikapalilie majani,niongee shida zangu, shida zikiisha nitaamini nimesaidiwa na mizimu ya wahenga wangu,japo mimi ni muumini wa kiongozi wa dini fulani (staitaja).
Wewe unafkiri ni kautamaduni gani hutaki kukaacha?
Tiririka.