Ni jambo gani hujawahi kusahau wala kusamehe?

Ni jambo gani hujawahi kusahau wala kusamehe?

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
1,143
Reaction score
2,475
1. Mwanamke nliyezaa naye tuliuguliwa mtoto akalazwa na tatzo lilikuwa linajulikana maana iyo ilikuwa n mara ya pili, mtoto alifariki nliumia mpk leo sjawai msahau mwanangu, aisee yule mdada akaanza sambaza mi ndo nimemuua mtoto wng.

2. Nilipigiwa cm na ndugu yng kwmb kuna kaz kaniunganishia akaniambia niwe passport kubwa,nichome chanjo ya corona. Nikaacha mambo yng na ilikuwa niajiriwe na kanisa kama katibu nikaaga kwmb nimepata kaz mkoan nilikopa hela vicoba kushughurikia pasprt na mambo mengne nikafunga safari mpk leo ni miaka 3 hakuna jipya zaid nafanya mambo mengne bnafs maisha yanasonga.

3. Kuna ndugu walinigombanisha na baba angu tukawa hatuelewan sasa kuna dogo mmoja ndugu yng alikuwa mshkaji yng sn kumbe mi sjui hli wala lile mambo yng nikimwambia anaenda mwambia mzee mbaya zaid dogo alinisngzia nimemuibia pasi akaenda mwambia mzee, daaah mzee kapga cm kwa baadhi ya watu akiwambia nimekuwa mwiz eti nimemuibia fulan pasi wkt si kweli. Inaniuma sn mpk leo.

JE, WEWE NI KIPI HUTOSAHAU WALA HUJASAMEHE.
 
1. Mwanamke nliyezaa naye tuliuguliwa mtoto akalazwa na tatzo lilikuwa linajulikana maana iyo ilikuwa n mara ya pili, mtoto alifariki nliumia mpk leo sjawai msahau mwanangu, aisee yule mdada akaanza sambaza mi ndo nimemuua mtoto wng.
2. Nilipigiwa cm na ndugu yng kwmb kuna kaz kaniunganishia akaniambia niwe passport kubwa,nichome chanjo ya corona. Nikaacha mambo yng na ilikuwa niajiriwe na kanisa kama katibu nikaaga kwmb nimepata kaz mkoan nilikopa hela vicoba kushughurikia pasprt na mambo mengne nikafunga safari mpk leo ni miaka 3 hakuna jipya zaid nafanya mambo mengne bnafs maisha yanasonga.
3. Kuna ndugu walinigombanisha na baba angu tukawa hatuelewan sasa kuna dogo mmoja ndugu yng alikuwa mshkaji yng sn kumbe mi sjui hli wala lile mambo yng nikimwambia anaenda mwambia mzee mbaya zaid dogo alinisngzia nimemuibia pasi akaenda mwambia mzee, daaah mzee kapga cm kwa baadhi ya watu akiwambia nimekuwa mwiz eti nimemuibia fulan pasi wkt si kweli. Inaniuma sn mpk leo.
JE WEWE NI KIPI HUTOSAHAU WALA HUJASAMEHE.
Aiseh pole mim sitasahau siku nmesingiziwa nmetembea na limtu lizima ety hadi hua naliomba pesa.....Nlichukia kias kwamba nlienda hadi nyumbani kwa huyu kwake mke wake alikua ananiheshimu nkamuelezea kila kitu akanambia eeeh mbona huyo anaesema unatembea na mme wangu yeye ndo anatembea nae na akanionyesha sms za usiku wake walivokua wanachat kumbe huyo mwanamke kila mme wake anachofanya kweny sim yake kinaingia kwake.
Huyo ndugu yangu alitukanwa karibia na kila mtu hapo nyumbani watu wakaanza kusema uchafu wake wote
 
Mdogo wangu alipokunywa vidonge akidhani msosi halafu majitu mazima yanamuangalia tu.Mzee wangu zaidi ya mara 700 alikua ananiambia mimi na watoto wengi sitegemei mnisaidie( Na hatujawahi kusaidiana kweli ,kila mtu na biashara zake).Siku nilipomuamkia mama yangu mara kumi( nilikua kifungoni kwa mzee wangu hukoo Mwanza).Akaniuliza babu kwanini umeaniamkia mara zote hizoooo nikamjibu nimekukumbuka sana mama yangu.Hapo bichwa limejaaa shilingi na vibarango kama tango master.Na yeye akasema nilikua nimekuja kuwaona ila habaki mtu hapa.Hayo mambo siyasahau na siyasamei na wafirwa wote watayalipia hapa hapa ulimwenguni.
 
Aiseh pole mim sitasahau siku nmesingiziwa nmetembea na limtu lizima ety hadi hua naliomba pesa.....Nlichukia kias kwamba nlienda hadi nyumbani kwa huyu kwake mke wake alikua ananiheshimu nkamuelezea kila kitu akanambia eeeh mbona huyo anaesema unatembea na mme wangu yeye ndo anatembea nae na akanionyesha sms za usiku wake walivokua wanachat kumbe huyo mwanamke kila mme wake anachofanya kweny sim yake kinaingia kwake.
Huyo ndugu yangu alitukanwa karibia na kila mtu hapo nyumbani watu wakaanza kusema uchafu wake wote
Hilo limtu lizima siyo mimi kweli! 😁
 
changamoto za kubeba mambo mengi moyoni/akilini ni sawa na maji yatiririkayo na kukusanya mchanga/takataka mahali mwisho wa siku mkandamizo unaongezeka == afya ya akili inadorora

Jitahidi kusamehe na kusahauu
 
Warangi na wapemba ........kumamake zenu popote mlipo ............mlitaka kunitoa roho lakini mwenyezi mungu kanilinda.......mtakufa wenyewe mpaka mmalizane koo zenu kumamake zenu
 
Warangi na wapemba ........kumamake zenu popote mlipo ............mlitaka kunitoa roho lakini mwenyezi mungu kanilinda.......mtakufa wenyewe mpaka mmalizane koo zenu kumamake zenu
Mkuu tupe kisa mbona kama hasira sana na povu.
 
Sitasahau........ Sitasahau...... Siwezi kusahau, japo kusamehe ni bora kuliko visasi
 
Sitasahau RFA na Yusuph Magasha.

Story ya Jonathan Meshack - Jambazi Mtoto aliyeitikisa Kanda ya Ziwa.
 
Back
Top Bottom