Ni jambo jema kuona hata wana CCM wamechangia Lissu apate gari, pia inatufanya tuwafahamu viongozi wenye roho mbaya na chuki

Ni jambo jema kuona hata wana CCM wamechangia Lissu apate gari, pia inatufanya tuwafahamu viongozi wenye roho mbaya na chuki

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Michango ya kununua gani la Lisu imewafanya wana CCM wacha Mungu waamue kutoa pesa zao kama sadaka ya kufuta dhambi iliyotendwa kwa kiumbe hiki kisicho na hatia.

Wapo waumini wa kanisa moja walifunga na kuomba apone lakini wapo waliotamani asiwepo hai. Ukiwauliza Lisu kuwakosea nini hakuna mwenye majibu. Ukiwauliza ni kipi amewahi kuibia nchi au kosa gani alifanya dhidi yao majibu hakuna.

Katika hali hiyo pia tumeona vijana wadogo waliopewa uongozi wanatoka adharani na kupinga asipewe michango. Ukiwauliza aliwakosea hakuna mwenye majibu. Lakini pia ukiwauliza endapo angefariki wangenufaika nini majibu hakuna.

Hali ipo pia kwa viongozi wengine wengi na baadhi yao wamejitokeza adharani kuonyesha chuki yao. Kibaya zaidi watu hawa wanahubiri mshikamano na upendo kila siku ila matendo yao yamejaa ubinafsi.

Nichukue fulsa hii kuwaomba binadamu wenzangu usifundishwe kumchukia mtu. Ni hatari sana kuwa na viongozi wanaolaani mauaji na matendo mabaya yanayofanywa nje wakakaa kimya kwenye matendo ya ndani.

Niwaombe viongozi wa dini, toeni sadaka kwenye eneo hili kuiepusha nchi na adhabu ya Mungu. Mnaweza mkakaa kimya kwa sababu mnawaogopa watawala lakini ipo siku watoto wenu watafanyiwa haya. Ni rahisi sana kurithi dhambi pale ambapo wazazi watashindwa kuomba toba.

Tubuni kwani yawezekana walioshiriki kumpiga lisasi ni watoto wenu viongozi wa wadini. Duniani kuna siri kubwa, tuombe msamaha hasa kwa yale ya silini
 
Michango ya kununua gani la Lisu imewafanya wana CCM wacha Mungu waamue kutoa pesa zao kama sadaka ya kufuta dhambi iliyotendwa kwa kiumbe hiki kisicho na hatia.

Wapo waumini wa kanisa moja walifunga na kuomba apone lakini wapo waliotamani asiwepo hai. Ukiwauliza Lisu kuwakosea nini hakuna mwenye majibu. Ukiwauliza ni kipi amewahi kuibia nchi au kosa gani alifanya dhidi yao majibu hakuna.

Katika hali hiyo pia tumeona vijana wadogo waliopewa uongozi wanatoka adharani na kupinga asipewe michango. Ukiwauliza aliwakosea hakuna mwenye majibu. Lakini pia ukiwauliza endapo angefariki wangenufaika nini majibu hakuna.

Hali ipo pia kwa viongozi wengine wengi na baadhi yao wamejitokeza adharani kuonyesha chuki yao. Kibaya zaidi watu hawa wanahubiri mshikamano na upendo kila siku ila matendo yao yamejaa ubinafsi.

Nichukue fulsa hii kuwaomba binadamu wenzangu usifundishwe kumchukia mtu. Ni hatari sana kuwa na viongozi wanaolaani mauaji na matendo mabaya yanayofanywa nje wakakaa kimya kwenye matendo ya ndani.

Niwaombe viongozi wa dini, toeni sadaka kwenye eneo hili kuiepusha nchi na adhabu ya Mungu. Mnaweza mkakaa kimya kwa sababu mnawaogopa watawala lakini ipo siku watoto wenu watafanyiwa haya. Ni rahisi sana kurithi dhambi pale ambapo wazazi watashindwa kuomba toba.

Tubuni kwani yawezekana walioshiriki kumpiga lisasi ni watoto wenu viongozi wa wadini. Duniani kuna siri kubwa, tuombe msamaha hasa kwa yale ya silini
Ni vizuri kuomba bila kuchoka wala kukata tamaa na kwakweli tumuombe Mungu zaidi, lakini zaidi sana tuwanzingatie na kuwahurumia na tunaowaomba ndugu zangu......

sasa hii inatofauti gani na wale wa kukamua maskini wanyonge kijajanja kwa kuwahadaa na miujiza kwemye maeneo ya maombezi mbalimbali kwa manabii wa kisasa au sasa hivi unabii umeingia hadi kwenye siasa? :whatBlink:
 
Kabisa! leo nimeombwa namba ya akaunti ya Lissu na kiongozi wa ccm Mkoa
ndiyo maana tunasema ukata wa fedha na njaa sio jambo la kitoto kuanzia kwenye chama hadi maisha ya nje ya chama. Ni hatari, aibu, inatia huruma japo ni fedheha pia lakini hakuna namna ingine.....

vipi,
ulitoa hiyo account sasa, ili ndugu yetu Lisu asitiriwe kwa chochote na huyo muungwana wa CCCM, mzalendo na anae zingatia utu wa binadamu kama ambavyo itikadi ya CCM ilivyo, kwamba tunaamini binadamu wote ni sawa na ni lazima kuheshimu na kuthamini utu wa kila mtu , lakini pia kujitegemea:BASED:
 
Ni vizuri kuomba bila kuchoka wala kukata tamaa na kwakweli tumuombe Mungu zaidi, lakini zaidi sana tuwanzingatie na kuwahurumia na tunaowaomba ndugu zangu......

sasa hii inatofauti gani na wale wa kukamua maskini wanyonge kijajanja kwa kuwahadaa na miujiza kwemye maeneo ya maombezi mbalimbali kwa manabii wa kisasa au sasa hivi unabii umeingia hadi kwenye siasa? :whatBlink:
Kuchangia moto/mwenge wa uhuru wenye bajeti je siyo sawa na hayo uliyoandika? Unaweza hapa kunitajia japo faida 5 zamoto wa uhuru . Ili usionekane KASUKU?
TUTACHANGA
 
ndiyo maana tunasema ukata wa fedha na njaa sio jambo la kitoto kuanzia kwenye chama hadi maisha ya nje ya chama. Ni hatari, aibu, inatia huruma japo ni fedheha pia lakini hakuna namna ingine.....

vipi,
ulitoa hiyo account sasa, ili ndugu yetu Lisu asitiriwe kwa chochote na huyo muungwana wa CCCM, mzalendo na anae zingatia utu wa binadamu kama ambavyo itikadi ya CCM ilivyo, kwamba tunaamini binadamu wote ni sawa na ni lazima kuheshimu na kuthamini utu wa kila mtu , lakini pia kujitegemea:BASED:
Namba ya Lissu iko kila mahali
 
Kuchangia moto/mwenge wa uhuru wenye bajeti je siyo sawa na hayo uliyoandika? Unaweza hapa kunitajia japo faida 5 zamoto wa uhuru . Ili usionekane KASUKU?
TUTACHANGA
nasisitiza kumuomba Mungu sana ndugu zangu,

lakini pia kufanya bidii na kujishughulisha na masuala mbalimbali ya kujiongezea kipato kama vile kilimo, ufugaji, biashara n.k ili kusudi tuondokane na aibu na fadheha kama hizi zinazotia huruma, aibu binafsi, fedheha kwenye familia, fedheha kwenye jamii, fedheha kwa marafiki, fedheha kwa wanachama, fedheha kwa vyama au taadisi zetu za kisiasa na Taifa kwa ujumla :BASED:
 
Malipo ni hapa hapa duniani,Ndungai anasugua benchi na akina kibajaji.
kujilipa kwa fedheha kwa kuombaomba nayo ni aibu sana ndugu zangu, lakini ndio mazoea yalivyo...

Tumuombe Mungu bila kuchoka, hawa wengine tunawabebesha mzingo wasiyostahili kwakweli :BASED:
 
Maisha yanaenda Kasi Sana,tatizo linaanzia pale mwanadamu unapopata tonge Kwa huruma ya binadamu mwenzako,badala upate tonge Kwa mjibu wa sheria.ili kuweka usawa wa Kila mtu atimize wajibu wake kisheria.
Hivi ile timu sifia sifia a.k.a siginia KUNGUNI ili kayafa aone wamfaa Iko wapi 🤔.
Light timu ile ingekuwa inafanya kazi kama ya jamaa aliyeko GENEVA YA AFRIKA Kwa Sasa hakika uongozi ule ungebarikiwa Sana.

Ila Sasa huwezi amini,koti lile la dzm ya zamani ndo lile lile lililoko GENEVA😄😄😄.

Maisha ya siasa mabaya Sana.


Kaa nao uwajue.

Lisu hakuwa na shida,na Wala hana shida na mtu na hatakuja kuwa na tatizo na mtu.

Ila nihazina isiyotumiwa vizuri.
Kisa siasa.

Jamaa ni mzuri na ana Nia nzuri na Nchi,ila Kuna Vilaza flani ndo shida.✍️
 
Back
Top Bottom