Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
eCondom moja tu ingezuia kuingizwa mkenge au kuhisi kuingizwa mkenge.
Huo ndo ushauri wangu.
Bado kuna ishara za kukuonyesha kuwa huyu anataka kutega mimba..lazima uwe na machale machale.Wanawake hawana formula maalum ya kuwajua. Hiyo condom unayotumia anajifanya hataki uchafu baada ya cha kwanza anaenda kuitupa kumbe anaikamulia ndani. Baadae unabisha hana mimba yako, anajifungua unaenda mbele mbele kupima DNA unapewa majibu ni 99.7% compatible. Ndio utajua hujui, stars na billionaires wanafanyiwa hivi ili watoe child benefits na mgawo hasa wakishajulikana wana utu na ustaarabu
Kikomo ni ule muda ametolewa usichana wake...huyo tayari ni mwanamkeKikomo ni miaka mingapi mkuu!
Kwahio wakati unamwaga nje kisha bao la pili ulikuwa unachomeka na kuendeleza tu libeneke au ulikuwa na session za kwenda kukojoa mkojo chooni kabla hujarudia bao la pili?Habari zenu wanaJF!
Ni hivi, Kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu msichana hakuwa na kosa la kuachwa Ila mumewe alifanya maamuzi haraka sana ya kumuacha kwa mambo ya kuambiwa.
Anataga amtegeshee bazazi 😅 ila dogo mshamba sana mie hunipi kesi ya mimba ikiwa sijamwaga ndani!Bado kuna ishara za kukuonyesha kuwa huyu anataka kutega mimba..lazima uwe na machale machale.
Hawa vijana bwana unataka utamu unaogopa tena kulea,vipimo vipo tena elf 3 tu nunua mpime mimba kama ipo mtunze tu, mama akijufungua lea mtoto wako maana hamna namna nyingie " sasa. "voice" for mizengo pindaKwanza wewe siyo mwaminifu mkuu. Uliwezaje kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mke wa rafiki yako?
Pili, wakati mnaingiliana kimwili bila Condom ulitegemea kitokee nini? Mpaka unafanya hilo tendo bila kinga maana yake ulikuwa umedhamiria kumpa mimba.
Tatu, acha uoga kama mimba ni yako baada ya kuhakikishiwa na huyo mama, naomba ulee hiyo mimba usikimbie majukumu mkuu. Huo utakuwa siyo uanaume hata kidogo.
Tulikuwa tukimaliza tunakaa sana masaa mengi sana, mfano tukisex asubuhi, tunasex tena mchanaKwahio wakati unamwaga nje kisha bao la pili ulikuwa unachomeka na kuendeleza tu libeneke au ulikuwa na session za kwenda kukojoa mkojo chooni kabla hujarudia bao la pili?
Ila hukojoi hapo katikati?Tulikuwa tukimaliza tunakaa sana masaa mengi sana, mfano tukisex asubuhi, tunasex tena mchana
Basi mimba sio yako hio unless ulikuwa unachelewa kuchomoa au demu kajiingizia shahawa zakoo baada ya kumwagaNilikuwa naenda kukojoa tu kama kawaida
Ndo nakwambia kama ni yako alitumia ujanja sana kujiingizia shahawa zako hasa kama alikuwa anaomba nafasi baada ya kumtia aidha akakojoe au katika kujifunika funika katika namna ambayo huoni anajitia vidole vyenye shahawa zakoSina uhakika kabisa kama ni yangu maana umakini mkubwa sana nilikuwa nao
Kama alifanya hivo amenikosea sana,Ndo nakwambia kama ni yako alitumia ujanja sana kujiingizia shahawa zako hasa kama alikuwa anaomba nafasi baada ya kumtia aidha akakojoe au katika kujifunika funika katika namna ambayo huoni anajitia vidole vyenye shahawa zako
Ndio mtapambana na malezi maana mtoto hana hatiaKama alifanya hivo amenikosea sana,
Tatizo sio kukaa sana, tatizo unahuwakika zilitoka shahawa zote pasipo kubaki ata moja wakati unarudia round nyingine?Hatukuwa tunaendelea haraka baada ya kumaliza kwa sababu shahawa zinapotoa hazitoki zote kabisa Kuna vitone vinabaki kwa hiyo tulikuwa tunakaa sana ndo tunachukua round nyingine...
Kumbe kumwaga nje hakusaidii kitu mkuu sio?
Kumwaga nje hakuzuii mimba.Habari zenu wanaJF!
Ni hivi, kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu msichana hakuwa na kosa la kuachwa Ila mumewe alifanya maamuzi haraka sana ya kumuacha kwa mambo ya kuambiwa.
Kama uyasemayo ni ya ukweli kuwa ulikuwa unamwaga nje kipindi mlikuwa mnalawitiana, ukae ukijuwa huyu demu anatombana na mtu mwingine zaidi yako na huenda huyo mtu kaikataa hiyo mimba anataka kukusakizia wewe. Anyways hana ujanja, mwache azae kisha pima vina saba vya huyo mtoto.Habari zenu wanaJF!
Ni hivi, kuna msichana mmoja nilizoeana nae sana kipindi alipokuwa ameolewa. Kuna kipindi ndoa yao iliingia dosari akaachana na mumewe wakiwa na mtoto mmoja, kiufupi huyu msichana hakuwa na kosa la kuachwa Ila mumewe alifanya maamuzi haraka sana ya kumuacha kwa mambo ya kuambiwa.