Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Kwenye events hizi mbili za mwisho za CCM kuna kitu nimejifunza.
Unakuta msanii anaenda ku-perform huko CCM alafu anavaa manguo ya CCM then akienda kwenye vyombo vya habari akiulizwa yeye ni CCM anakataa anasema alikuwa tu kazini.
Sasa kama ulienda ku-perform tu kama kazini, mnaenda kuvaa manguo ya CCM ya nini?
Kwenye Uchaguzi wa 2024, Jeniffer Lopez, Beyonce na Meghan Stallion walienda kuperform huko kwenye kampeni ya Kamala Harris lakini hawakuvaa manguo yenye nembo za Democrats.
Wasanii mnapoenda kwenye makampeni huko, mmkivaa tu manguo ya CCM tunajua nyie ni CCM
Kwenye events hizi mbili za mwisho za CCM kuna kitu nimejifunza.
Unakuta msanii anaenda ku-perform huko CCM alafu anavaa manguo ya CCM then akienda kwenye vyombo vya habari akiulizwa yeye ni CCM anakataa anasema alikuwa tu kazini.
Sasa kama ulienda ku-perform tu kama kazini, mnaenda kuvaa manguo ya CCM ya nini?
Kwenye Uchaguzi wa 2024, Jeniffer Lopez, Beyonce na Meghan Stallion walienda kuperform huko kwenye kampeni ya Kamala Harris lakini hawakuvaa manguo yenye nembo za Democrats.
Wasanii mnapoenda kwenye makampeni huko, mmkivaa tu manguo ya CCM tunajua nyie ni CCM