Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BICHWA KOMWE -Kwenye ulimwengu wa sasa kuna kipindi unachukua namba ya mtu na unashindwa kumsave kwa jina lake, sometimes husababishwa na majina kufanana au kutomfahamu vizuri aliekupa namba.
View attachment 2876375
View attachment 2876376
Ni jina gani la ajabu umesave kwenye simu yako?
em ngoja nmjarbu hapa maana sina kazi ya kufanya vo lakn uyu baridi baridi auMambo yasiwe meñgi.
Oyaa huyo ni dronedrake ama??Mambo yasiwe meñgi.
Hahahahhhaaaaa MUFTIIIIIIIIIIIII
Baba Mijambonyuki manundu
🤣🤣 mashuzi 100 kuna wachina wanakusanya mashuzi mkuu tuchangamkie tenaBaba Mijambo
😂Hahahahhhaaaaa MUFTIIIIIIIIIIIII